hawa jamaa wanapenda sana kuwaponda wenzao wanajiona wao ni bora sana kumbe ss tunajua hakuna mwanadamu aliekamilika sote tunautafuta ukamilifu hapa duniani.wasabato ni tatizo pia ni washirikina sanq hawa ndugu zangu.
ukweli ni huo wanaume wa kisabato hawajatulia kbs pia kama unataka kuolewa na wasabato utasubiri sana mana wasabato wenyewe ni wachache sana hapa tz pia ni kanisa lenye kujikweza sana wanajiona wao ni bora sana kuliko wakristo wenzao .tafuta mkiristo yyt mama.
kwanza ujieleze kwanini ulizaa mapema huenda kwa kua hujatulia sasa bado unataka tena kuolewa na mwanaume msabato elewa kua wanaume wasabato ni malaya sana sijui km utawaweza .tafakari
Toeni uharo wenu nyie timu uwasa hapa kama mmeshindwa huko ccm huku chadema hamuwezi nyie ni watu wa kukurupuka na tamaa ya madaraka tu nendeni na mtu wenu act labda yuda atampokea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.