Natafuta mme msabato(seventh day adventist)

Natafuta mme msabato(seventh day adventist)

Nenda njia panda airport utawakuta wanasubiri ndege kwenda ulaya kutangaza injili bila passport
 
ukweli ni huo wanaume wa kisabato hawajatulia kbs pia kama unataka kuolewa na wasabato utasubiri sana mana wasabato wenyewe ni wachache sana hapa tz pia ni kanisa lenye kujikweza sana wanajiona wao ni bora sana kuliko wakristo wenzao .tafuta mkiristo yyt mama.
 
hawa jamaa wanapenda sana kuwaponda wenzao wanajiona wao ni bora sana kumbe ss tunajua hakuna mwanadamu aliekamilika sote tunautafuta ukamilifu hapa duniani.wasabato ni tatizo pia ni washirikina sanq hawa ndugu zangu.
 
Mmh! Naomba tuwe wastarabu, nitukaneni mm niliyeweka post hii, ila si kuanza kutoa maneno ya karaha kwa dhehebu la wasabato au wanaume wa kisabato.
Umalaya ni tabia ya mtu na kila dhehebu au dini kuna wanaume malaya,
kama unaona post haiko sawa, ni vizuri kushauri kwa lugha nzuri bila kuumiza hisia za watu wengine.

Umesema vema sana rafiki, kwani hata ule msemo wa samaki mmoja akioza, eti wote wameoza; kwa sasa haina ukweli kwa vile samaki wanachambuliwa mmoja baada ya mwingine.

Ikiwa alitendwa baya lolote na msabato mmoja asiye na hofu ya Mungu ndani yake, kwa nini awahesabie dhambi hiyo wote?

Hebu fikiria kila aliyemuumiza, alimlaumu yeye au aliwalaumu wa imani yake? Nadhani zitakuwa ni akili fupi sana kuwa na mtazamo huo.
 
hawa jamaa wanapenda sana kuwaponda wenzao wanajiona wao ni bora sana kumbe ss tunajua hakuna mwanadamu aliekamilika sote tunautafuta ukamilifu hapa duniani.wasabato ni tatizo pia ni washirikina sanq hawa ndugu zangu.

Wengi tunaumizwa na mitazamo yetu mibovu na hasa kama huo. Maana ni wazi kwamba haiwezekani hata siku moja kwamba Wasabato wote wakawa ni malaya na wachawi; vinginevyo labda itakuwa tu ulichelewa kuelewa.
 
hawa jamaa wanapenda sana kuwaponda wenzao wanajiona wao ni bora sana kumbe ss tunajua hakuna mwanadamu aliekamilika sote tunautafuta ukamilifu hapa duniani.wasabato ni tatizo pia ni washirikina sanq hawa ndugu zangu.

yaani ww utakuwa ulishaliwa tigo na wasabato
una chuki ya kipumbavu kweli,,
ww hapa tujadili dini bali hapa kuna kujadili tamaa zenu then unatukana wasabato!!
jiheshimu kaka tusikwazane kwa imani we kweli unaliwa nyuma,,,
wasabato,Rc,islam,pentecoste etc hupaswi kuwazungumzia hapa kwenye jukwaa hili ambalo limejazq wajinga kma ww
 
hawa jamaa wanapenda sana kuwaponda wenzao wanajiona wao ni bora sana kumbe ss tunajua hakuna mwanadamu aliekamilika sote tunautafuta ukamilifu hapa duniani.wasabato ni tatizo pia ni washirikina sanq hawa ndugu zangu.

Mwanzoni nilicomment nikijuaa kua kuna element za ukweli katika unachoongea

Lakini kwa unavyozidi kutiririka nimegundua kua chukii binafsi ndio zinakuendesha
pole sana
 
Sijari dada yangu, kikubwa mwombe Mungu utampata tu
 
Kwa masharti magumu uliyoweka utadhani ni bikra na kama wewe ungekuwa muumini safi usingefanya ngono kabla ya ndoa
Binafsi mimi kama mwanaume sipendi kumwoa mwanamke aliyezalishwa hata kama anakipato cha kunizidi
 
Natamani nimcc mtu lakini sijui atanielewa? Vigezo vyote vipo ila hilo la mtoto mh? ila anaweza elewa maana nimuelewa.....guess who????....piga Kimya bas!!!

Kama unamuongelea mume wa mimi mwenzio ushindwe kabisaaa...
 
Weka picha yako hapa tena full isiwe passport size maana ukikuta mtu anakimbilia vigezo hivyo ujue ni uso tofali tena bichi halijaxhomwa
 
Mmh! Naomba tuwe wastarabu, nitukaneni mm niliyeweka post hii, ila si kuanza kutoa maneno ya karaha kwa dhehebu la wasabato au wanaume wa kisabato.
Umalaya ni tabia ya mtu na kila dhehebu au dini kuna wanaume malaya,
kama unaona post haiko sawa, ni vizuri kushauri kwa lugha nzuri bila kuumiza hisia za watu wengine.

Maskini unaonekana mstaarabu sana....bahati mbaya kaka yngu sio msabato
 
Back
Top Bottom