Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,681
- 8,233
Mimi sio big fan wa Magufuli na niko on the record humu kumpinga mambo mengi
but Lowassa ni mbovu zaidi...
Lowasa kamfanya Magufuli aonekane 'malaika'
na sasa wana CCM washaamua
To change a system you need to be in the system Pombe played a very smart game and I believe he can change things. Kwa sababu ni msomi sio kama hawa wanaobatizwa madegree ya kupandikiza na kujiita madaktari. Nafahamu kuna wanaomchukia kutokana na maamuzi yake ya nyuma kwenye suala la kuuza nyumba lakini hilo lawama ni kwa aliyekuwa rais, Magufuli au Slaa watainyorosha hii nchi believe me.