CUF tunakubalika bara na Zanzibar

CUF tunakubalika bara na Zanzibar

Wanakubalika bara??? Huo ni mzaha. Kuweni wa kwali. In fact mwaka kama mtakuwa ndani ya ukawa mtajiongezea wabunge kwa mgongo wa CDM, na kama mtajitoa, hata hayo majimbo mawili mliyoshinda mtapokonywa nakubakiwa na sifuri bara. Mtaendelea kubebwa na wapemba.
 
CUF walikubali Dr. Slaa awe mgombea Urais na Chadema wakamuomba Juma Duni(Makamu Mwenyekiti CUF) awe mgombea mwenza ila sharti achukue kadi ya chadema(kwa mujibu wa katiba ni lazima Rais na Makamu watoke chama kimoja), pia chadema itatoa waziri Mkuu maana ina majimbo mengi ya kugombea. Issue ya wabunge viti maalum ambao hutokana na wingi wa kura za rais na wabunge inabidi watoke chama chenye mgombea Urais(Chadema) kwa mujibu wa katiba, hivyo chadema ikawaomba CUF watoe majina ya wanawake wenye sifa ili wawekwe kwenye list ya Chadema na wapewe kadi za chadema maana kwa katiba iliyopo inalazimu kila Mbunge wa viti maalum ktk UKAWA atokee Chadema(Chama chenye mgombea Urais). Lipumba kabanwa na viongozi wenzake wa Baraza kuu kuwa kumpa Duni Haji na wanawake wote wa CUF kadi za Chadema ni kukiuza chama CUF kwa Chadema!
(Kumkomboa mtanzania hakujalishi uko chama gani,nawaomba Cuf wakubali ili kutupunguzia makali ya maisha ya magamba!)
 
CUF walikubali Dr. Slaa awe mgombea Urais na Chadema wakamuomba Juma Duni(Makamu Mwenyekiti CUF) awe mgombea mwenza ila sharti achukue kadi ya chadema(kwa mujibu wa katiba ni lazima Rais na Makamu watoke chama kimoja), pia chadema itatoa waziri Mkuu maana ina majimbo mengi ya kugombea. Issue ya wabunge viti maalum ambao hutokana na wingi wa kura za rais na wabunge inabidi watoke chama chenye mgombea Urais(Chadema) kwa mujibu wa katiba, hivyo chadema ikawaomba CUF watoe majina ya wanawake wenye sifa ili wawekwe kwenye list ya Chadema na wapewe kadi za chadema maana kwa katiba iliyopo inalazimu kila Mbunge wa viti maalum ktk UKAWA atokee Chadema(Chama chenye mgombea Urais). Lipumba kabanwa na viongozi wenzake wa Baraza kuu kuwa kumpa Duni Haji na wanawake wote wa CUF kadi za Chadema ni kukiuza chama CUF kwa Chadema!

Haya mavitu ya UKAWA hayawezekani bora wajitoe tu
 
Inasemekana Akili ni nywele; na kila mtu ana zake!! kwa mantiki hiyo wewe kuna dalili nywele kabisaaa; mpaka kinyaa!
No research no right to open up your mandibles! hata matokeo ya chaguzi za serikali za mitaa majuzi tu hata wino haujakauka hayakukwambia kitu! hakuna kitu ulibanaini kwa matokeo hayo!? angalia usijerithisha kizazi chako akili ya namna hiyo!! Bs

Hayakusaidii lolote
 
CUF walikubali Dr. Slaa awe mgombea Urais na Chadema wakamuomba Juma Duni(Makamu Mwenyekiti CUF) awe mgombea mwenza ila sharti achukue kadi ya chadema(kwa mujibu wa katiba ni lazima Rais na Makamu watoke chama kimoja), pia chadema itatoa waziri Mkuu maana ina majimbo mengi ya kugombea. Issue ya wabunge viti maalum ambao hutokana na wingi wa kura za rais na wabunge inabidi watoke chama chenye mgombea Urais(Chadema) kwa mujibu wa katiba, hivyo chadema ikawaomba CUF watoe majina ya wanawake wenye sifa ili wawekwe kwenye list ya Chadema na wapewe kadi za chadema maana kwa katiba iliyopo inalazimu kila Mbunge wa viti maalum ktk UKAWA atokee Chadema(Chama chenye mgombea Urais). Lipumba kabanwa na viongozi wenzake wa Baraza kuu kuwa kumpa Duni Haji na wanawake wote wa CUF kadi za Chadema ni kukiuza chama CUF kwa Chadema!
(Kumkomboa mtanzania hakujalishi uko chama gani,nawaomba Cuf wakubali ili kutupunguzia makali ya maisha ya magamba!)

Hahahaa mmewaona mazuzu kweli mbona nyie wagumu
 
Wanakubalika bara??? Huo ni mzaha. Kuweni wa kwali. In fact mwaka kama mtakuwa ndani ya ukawa mtajiongezea wabunge kwa mgongo wa CDM, na kama mtajitoa, hata hayo majimbo mawili mliyoshinda mtapokonywa nakubakiwa na sifuri bara. Mtaendelea kubebwa na wapemba.

Jichanga nyeni tu
 
CUF ni wadini hawatakuja kushinda uchaguzi. Chadema wanamsimamisha mzinzi Slaa na ni wakabila. Ila mawazo ya watu wa CDM ni mazuri ila CUF ni mdebwedo
 
Nilishangaa sana CHADEMA walipojiunga na CUF..hivi ni lini CUF wamekuwa wapinzani..???
 
Sio suala la udini ndugu kwa kiasi Fulani CUF bara imekufa lazima hapa tuondowe ubinafsi wetu CHADEMA inakubalika zaidi bara na kama CUF wakijitoa UKAWA basi baada ya uchaguzi hata huko Zanzibar itasambaratika , na watu wake utaona jinsi watakavo kimbilia CHADEMA.

Huzijui siasa za visiwani wewe!!!!!
 
CUF walikubali Dr. Slaa awe mgombea Urais na Chadema wakamuomba Juma Duni(Makamu Mwenyekiti CUF) awe mgombea mwenza ila sharti achukue kadi ya chadema(kwa mujibu wa katiba ni lazima Rais na Makamu watoke chama kimoja), pia chadema itatoa waziri Mkuu maana ina majimbo mengi ya kugombea. Issue ya wabunge viti maalum ambao hutokana na wingi wa kura za rais na wabunge inabidi watoke chama chenye mgombea Urais(Chadema) kwa mujibu wa katiba, hivyo chadema ikawaomba CUF watoe majina ya wanawake wenye sifa ili wawekwe kwenye list ya Chadema na wapewe kadi za chadema maana kwa katiba iliyopo inalazimu kila Mbunge wa viti maalum ktk UKAWA atokee Chadema(Chama chenye mgombea Urais). Lipumba kabanwa na viongozi wenzake wa Baraza kuu kuwa kumpa Duni Haji na wanawake wote wa CUF kadi za Chadema ni kukiuza chama CUF kwa Chadema!
(Kumkomboa mtanzania hakujalishi uko chama gani,nawaomba Cuf wakubali ili kutupunguzia makali ya maisha ya magamba!)
Kumekucha!
 
Moja ya changamoto ambayo tunayo ni kwamba chadema viongozi na mafuasi mnadhani kama mnahaki zaidi ya wengine. Kuwa na wabunge 2010 haina maana kwamba wabunge hao watarudi wote 2015. Fuatilieni uchaguzi wa serikali za mitaa mjue bara tumeshinda kiasi gani... kutupa majimbo chini ya 100 ni matusi.
Maneno yenu ya dharau na nyodo humu na viongozi wenu wanatumia na ndiyo maana hatufiki mwisho. HOJA hapa ni kwamba CUF pekee ndiyo yenye uwezo wa kupata wagombea pande zote za muungano na hicho ni kigezo kikubwa cha kuwakilisha ukawa.
 
Niliyasema haya mkaniona mshabiki wa Zitto, haya sasa yamewafika wenyewe. hata hivyo nimezoea kila nachoaandika huwa kinapigwa ivta vikali japo roho zenu zina wasiwasi.. UKAWA hamna kitu pale ni wachumia tumbo tu toka mwanzo..
 
Niliyasema haya mkaniona mshabiki wa Zitto, haya sasa yamewafika wenyewe. hata hivyo nimezoea kila nachoaandika huwa kinapigwa ivta vikali japo roho zenu zina wasiwasi.. UKAWA hamna kitu pale ni wachumia tumbo tu toka mwanzo..



Una hasira sana vipi ungepewa nafasi uliyoomba ungewaita wachumia tumbo??

Ha ha unachekesha sana unaowaita wachumia tumbo ungekesha kutafuta attention yao? loser!!!!
 
kwa kweli kimantiki kama cuf wakaruhusiwa na ukawa kusimamisha mgombea urais wa muungano kupitia ukawa na pia zanzibar itakuwa ni hatar. itaondoa maana nzima ya umoja. mgombea urais wa muungano katika UKAWA kwa sasa anapaswa kutoka NCCR ama CHADEMA ama NLD...
 
Tuelekezane kwanza. Bara ni wapi? kama unazungumzia eneo la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania basi useme Tanganyika /Tanzania Bara ama Zanzibar /Tanzania Visiwani.
Jana kuna raia mmoja kutoka Visiwani alisema kuwa, kama mlikubaliana na mwenzako kufanya bihashara pamoja na baadaye akaja jamaa mwingine ana wazo zuri sana la biashara yenye faida kubwa na anataka kushirikiana na wewe ; unachokifanya siyo kumkimbia mwenzako na kujiunga na huyo jamaa mwingine bali uanawasilisha wazo kwa mwenzako wa awali juu ya Biashara mpya aliyonayo huyo jamaa mwingine na nia yake ya kufanya Biashara na wewe na unamuuliza kama yuko tayari kujiunga nao. Hivyo si vyema kutamka kwenda kwenye dili la jamaa mwingine bila kumtaalifu mwenzako wa awali.
Kwa kifupi CUF walianza bihashara na CCM ya umoja wa kitaifa Zanzibar na wakafanikiwa kupa ta katiba ya nchi yao ya Zanzibar ya 2010. Chadema ni jamaa mwenye wazo zuri sana. Mpaka hapo waweza Kung'amua kwa nini CUF wanasuasua.
 
Back
Top Bottom