bowlibo
JF-Expert Member
- Dec 10, 2011
- 3,206
- 2,908
Ninaamini ktk Mithali 19:14, kwamba, "Nyumba na Mali ni urithi apatao mtu kwa babaye; Bali mke mwenye busara, mtu hupewa na Bwana".
Kwa maana nyingine fungu hili humaanisha hata mume mwenye kufaa, mtu hupewa na Bwana.
Ninapenda kukushauri kuwa, muombe Mungu akupe mume ila siyo kazi ya huyo mume maana hitaji lako ni mume na siyo kazi. Labda kama unataka kazi tukutafutie, lkn kama hitaji lako ni mume, acha kuweka vigezo vya kazi maana hayo ni majaaliwa tu.
Itapendeza sana ukinielewa.
hapo ndo wanawake wengi wasipopaelewa. kipindi cha ujana wangu kuna mademu kibao walinikataa eti sina kazi ya kueleweka. baada ya kujiendeleza kidogo na kukaa sawa wakaanza kujileta nakunitafuta kwa fujo.
bahati yao mbaya vyumba vikawa vimeshajaa. wao wanadhani kila leo itakuwa sawa na kesho.