Umenena ila cjapenda unapodharau house girl kwan co watu? Hawafai kuolewa? Acha dharau mwisho wa cku hata mwanao anaweza kuwa house girl tuache dharau!!!
Mi nimesomea hyo taaluma kiukwel..haitakiw hvyo ikiwa umemualika mgen mmoja bac mtangazaj lazima awe neutral huwez alika wagen wa mlengo mmoja nawe ukawa hukohuko kwanza hutakiw kuonyesha mihemko au mahaba yako upande fulan so kwa hapo star mhh cjui wamesoma wap.....k.nj.nj?
Ma Dkt wanakula kiapo akifanya hvyo mwisho wake huwa mbaya, anaweza kuwa chizi au kuharibikiwa kiakil akawa yupo yupo tu labda afanye hvyo baadae baada ya mgonjwa kupona na si hospitalin
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.