Mpenzi wangu hajawahi kuniomba hela

Mpenzi wangu hajawahi kuniomba hela

Kaka jiongeze usisubiri kusaidiwa si kweli kwamba kipato chake kinazid chaki, ni kati ya wanawake wachache wasiopenda kutanga shida zao kwa ma bf wao bivyo alili kumkimkichea broo
 
Kaka jiongeze, si kweli kwamba kipato chake kinazidi chako, bali ni kati ya wanawake wachache wasiopenda kutangaza shida zao kwa ma bf zao hivyo akil kumkichwa broo
 
Hivi kuombwa hela ni sifa.. mi binafsi mwanamke anaeniomba h3la siwezan nae,hela yangi uwa naitoa pale tu tukitoka out,i pay our bills bas,ni utatatibu niliojiwekea na yeyr anajua hvo she sometimes pay part of our bills,na huyu mwanzoni alikuja na mbwembwe hizo hizo za kuniomba omba hela,majibu nlokuwa nampa maogopa hata kuyaandika,but sa hii keshazoea n we gudloving couple,mwezo ujao naenda kulipa mahali kwao karagwe.!!
 
Kuwa na kazi haina maana wanapata hela za kutosha. Kutegemeana na lifestyle wanawake wanahitaji mkwanja mrefu ambao mara nyingi hawawezi kuupata kazini peke yake.

kwa hiyo ndo wawe wanahongwa au kupewa au kusukuma nyembu??
 
Jamani wakuu ninacho kisema nikweli kabisa. Mpenzi wangu hajwahi kuniomba hela tokea nimeanza uhusiano nae nina miezi sita.

Nilishawahi kumuuliza kwanini hua huniombi hela,akanijibu hajazoea kuomba hela. sasa mtu kama huyu unamuweka kwenye kundi lipi.

Miezi sita tuu yaan mimi mpenz wang mwaka wa tatu hajaniomba ela na na wala co wa kishua wala nn dah
 
Kuna watu wanaridhika kwa walichonacho. Ukimpa ni ziada. Hivyo usimuelewe vibaya, ila wakayi mwingine jiongeze siyo lazima akuombe.
 
Co mpaka uombwe we we mwenyewe unatakiwa ujiongeze ndo maana mnasaidiwa na watu wapemben then later unaachwa unakuja kulalamika ili iweje sasa.
 
Back
Top Bottom