Recent content by Nelson Mgalla

  1. Nelson Mgalla

    Biashara gani naweza kufanya mazingira ya chuo..?

    Maelezo kidogo juuu ya mobile money...?[emoji383] [emoji336]
  2. Nelson Mgalla

    Biashara gani naweza kufanya mazingira ya chuo..?

    Kwa chuo changu stationary kila kona na bei nafuu sana. Na Mm nipo off campus
  3. Nelson Mgalla

    Biashara gani naweza kufanya mazingira ya chuo..?

    Heshima yenu wana JF..[emoji112] Mimi ni mwanafunzi wa chuo naomba kufahamishwa biashara au fursa gani naweza kufanya yenye mtaji mdogo. Naamini kuna wadau walisha soma na wengine wanasoma ila wana mawazo juu ya biashara na fursa mbalimbali ambazo ukifanya maeneo ya chuo basi italipa kiasi chake.
  4. Nelson Mgalla

    Waliochaguliwa SUA 2017/18 tukutane hapa

    Vp kuhusu hostel za sua room wanakaa wa2 wangap...?
  5. Nelson Mgalla

    Waliochaguliwa SUA 2017/18 tukutane hapa

    2nashukuru sana ila sasa 2lio confirm ha2ja jibiwa had sasa kama confirmation zime fika au la..? Cjui inakuaaje apo Roho juujuu dingii[emoji34] [emoji34]
  6. Nelson Mgalla

    University admission results updates (Matokeo ya udahili vyuoni)

    Kama kuna m2 aliye fanya confirmation kwenye chuo cha SUA na kupata majib 2julishane kinachofuta ni nin...? Mwisho ni leo wandugu[emoji34]
  7. Nelson Mgalla

    Sokoine University Of Agriculture Special Thread

    Mm cjui shida nin 2mesha confirm ila bado hawatoi taarifa yoyote...? Na mwisho leoo....x-(x-(
  8. Nelson Mgalla

    Waliochaguliwa SUA 2017/18 tukutane hapa

    Vp kuhusu form za aadaa,malaz n..k.. Kwa SUA. Awaja sema wanatoa lin...?
  9. Nelson Mgalla

    Wakuu kesho ndo ile siku inayosubiriwa kwa hamu na wanavyuo wapya

    Cndo leo tarehe mbili mbona hakuna lolete...?
  10. Nelson Mgalla

    University admission results updates (Matokeo ya udahili vyuoni)

    Leo cndo tarehe 2 au mbona hakuna lolote Au cku haijaisha bado....?
  11. Nelson Mgalla

    Vitatu uvipendavyo

    Uzima Pesa Good music
  12. Nelson Mgalla

    Wanawake hayo yote kwa ajili ya nani?

    Aah aaah ipo kaz :-D
  13. Nelson Mgalla

    Lil Yatchy msanii wa hiphop ameingiza pesa nyingi 2017 kuliko wasanii wote bongo pamoja

    Wao wenyewe wana logana,kushindania madem.. Watafka lin huko istoshe system ya kusimamia haki za wasanii hakuna Wana ban show wa2 wa3 iizo madollar watazisikia2 kwenye bomba...
Back
Top Bottom