tume yanini wakati ukweli unajionyesha kwenye picha, mnapoteza pesa za walipa kodi bila sababu za msingi.hawa police ni wauwaji,tumewastukia,kila mtu anawaelewa hamna namna ya kujitetea.
ukiona unafadhiriwa usafiri na kupewa shilingi elfu tano kwenda kwenye mkutano wa chama ni dalili za chama hicho kufirisika kisera na ujue utazilipa hizo gharama,kwa kufisadi rasilimali za nchi yetu.si watu wazuri hawa kaa chonjo saa mbaya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.