NELSON LANGSON
Member
- Jun 3, 2012
- 17
- 0
ukiona unafadhiriwa usafiri na kupewa shilingi elfu tano kwenda kwenye mkutano wa chama ni dalili za chama hicho kufirisika kisera na ujue utazilipa hizo gharama,kwa kufisadi rasilimali za nchi yetu.si watu wazuri hawa kaa chonjo saa mbaya