omongoreme
Member
- Nov 24, 2011
- 32
- 2
Kwani shamba lake LA nyanya bad analimiliki?si ashauriwe arudishe majeshi kwenye nyanya?maskini Mzee wa watu
Akampe story mwenyekiti wake anayeshinda akipiga picha na watu wote maarufu duniani!
Katibu Mkuu yuwapi? mbona zigo la ma.vitu analibeba Mangula menyewe
Safi sana wana Iringa, huyu anafahamika sana kama kiongozi wa kampeni chafu dhidi ya upinzani. Na laana hiyo lazima imtafune. Hebu fikiri tokea apewe madaraka aliyonayo alivyoimarisha mkakati wa kusambaza rushwa kwa wasaliti ili kufanikisha malengo yao ya kubakia madarakani mradi walioutekeleza pia enzi za NccRm.Makamu mwenyekiti wa ccm taifa philp mangula amekuwa na wakati mugum sana mkoani iringa katika kuwahutubia wale alioamini kuwa ni wanchama wa ccm katka viwanja vya mwembetogwa mkoan hapa. Kiongoz huyo wa ccm (chichidodo) amejikuta akiwa na wakati mugmu sana pale aliposhindwa kutoa hoja za kimsingi zenye kutoa majibu ya kero za wananchi mkoan hapa. Kiongoz huyo alisisitiza vikao vya ndan vya chama na kuzid kuwachosha wanairinga waliosombwa kutoka isman, kalenga ,kilolo, pawaga, dabaga na sehem zingnezo.
Katka kile kilichoonekana kuwachosha wananchi hao na wananchi kutokuwa na imani na Mangula na ccm yake. aslimia kubwa ya watu waliohudhulia mkutano huo walionyesha alama ya vidole viwili wakionyesha imani yao kwa CHADEMA. Mungu wang chichidodo huyo alimanusula atoa mchoz jukwaan pale alipoona umati mkubwa ukimzomea kinyume cha mamtarajio yake , kwan hata wale waliovaa sare za kijan walioonyesha kumzomea zaidi.AMA KWELI KIFO CHA CCM IRINGA KIMEFIKA.
Si walisema wanataka kukomboa jimbo,Aibu wameipata.:cheer2::cheer2::cheer2:Makamu mwenyekiti wa ccm taifa philp mangula amekuwa na wakati mugum sana mkoani iringa katika kuwahutubia wale alioamini kuwa ni wanchama wa ccm katka viwanja vya mwembetogwa mkoan hapa. Kiongoz huyo wa ccm (chichidodo) amejikuta akiwa na wakati mugmu sana pale aliposhindwa kutoa hoja za kimsingi zenye kutoa majibu ya kero za wananchi mkoan hapa. Kiongoz huyo alisisitiza vikao vya ndan vya chama na kuzid kuwachosha wanairinga waliosombwa kutoka isman, kalenga ,kilolo, pawaga, dabaga na sehem zingnezo.
Katka kile kilichoonekana kuwachosha wananchi hao na wananchi kutokuwa na imani na Mangula na ccm yake. aslimia kubwa ya watu waliohudhulia mkutano huo walionyesha alama ya vidole viwili wakionyesha imani yao kwa CHADEMA. Mungu wang chichidodo huyo alimanusula atoa mchoz jukwaan pale alipoona umati mkubwa ukimzomea kinyume cha mamtarajio yake , kwan hata wale waliovaa sare za kijan walioonyesha kumzomea zaidi.AMA KWELI KIFO CHA CCM IRINGA KIMEFIKA.
Huyu mzee nae sijui nani
alimdanganya arudi tena kutumiwa na Hawa makijani si bora angeendelea tu
kulima Nyanya jamani,watamuua tu mapema mzee awa watu hili jahazi
lilishazama Mbona..........nahisi nae sahizi anajua alishachemka njaa
haina adabu ila....
njaa kweli noma.huyu mzee nae sijui nani alimdanganya arudi tena kutumiwa na hawa makijani si bora angeendelea tu kulima nyanya jamani,watamuua tu mapema mzee awa watu hili jahazi lilishazama mbona..........nahisi nae sahizi anajua alishachemka njaa haina adabu ila....
Time will tell. Chama hata kikiwa kizuri kikikua sana kinachokwa. Ukiongezea na madudu mengi ya chama hiki kikongwe inahitaji nguvu ya ziada kushawishi umma. Watu hupenda fashion mpya.
Katibu Mkuu yuwapi? mbona zigo la ma.vitu analibeba Mangula menyewe