Mzawa wa Zanzibar ni nani?

hakuna jazba wala nini, jazba mnazo nyie wapagani na uamsho wenu... upagani mtupu.. peaneni 'laha' wenyewe huko huko msituletee 'ufilauni' huku kwetu maana sie twamwogopa Mungu aliye hai ati!!!

Mungu anazaliwa kwenye familia??

Hivi Mungu ana mjomba , kaka , dada, mama, hata marafiki wa kucheza nae ??? Mungu huyo anaenda haja kubwa na ndogo, anatawazishwa ,anavishwa pampers , kazi ipo

Sikulaumu maana akili yako ni ya mgando unaburuzwa tu
 
Karume asili yake kigoma, mwinyi asli yake mkuranga, hassan nassoro moyo mngoni, jumbe kama sio mdengereko basi mngoni , moulidina kastiko mzulu,
Karume ni mnyasa wa Malawi hadi sasa ana ndugu huko,ni kama Mkulo
 
Zanzibar haina mwenyewe,wote ni wa kuhamia.Wenye asili ya zanzibar ni wale nyani wa pale (du nimesahahu jina la ile hifadhi kama unaenda Makunduchi sijui inaitwa Jonzi)kuna nyani ambao hawapatikani sehemu yoyote duniani.Waliopo zanzibar ni wahamiaji tu kutoka nchi mbalimbali,Zanzibar ni kama Marekani utakuta kila aina ya watu kutoka nchi mbalimbali,kuna wachina wazanzibari,waturuki wazanzibari,wacomoro wazanzibari,maburushi wazanzibari,wanyasa,wanyamwezi,wadigo,waajemi,wajerumani ,wa oman nk.kwa kifupi hakuna mwenye zanzibar bana!! wote ni wahamiaji tu.
Mkuu ninani alipinduliwa? Na kwanini apinduliwe kama haina mwenyewe?
 
Mkuu ninani alipinduliwa? Na kwanini apinduliwe kama haina mwenyewe?

Ilivamiwa na Tanganyika viongozi wake wakafungwa na Baba yenu wa taifa katika majela ya Tanganyika kabla ya Muungano April 1964 na ndio ukaona harakati hizi za kudai uhuru zimeshamiri
 
Mungu anazaliwa kwenye familia??

Hivi Mungu ana mjomba , kaka , dada, mama, hata marafiki wa kucheza nae ??? Mungu huyo anaenda haja kubwa na ndogo, anatawazishwa ,anavishwa pampers , kazi ipo

Sikulaumu maana akili yako ni ya mgando unaburuzwa tu

wapi umeona nimesema hayo unayosema? we kweli mtindio.. Mungu wako ni jua, mwezi na nyota nini? oops.. sori i forgot wewe ni pagani na umejaa udini and always out of topic/conversation!!!
 
Nachofaham ni kwamba watu wote wanaoishi visiwani (kisiwa chochote unachokijua wewe) huwa ni wahamiaji kutoka maeneo mengine ! Labda swali litakalobaki ni nani alimyetangulia mwenzake kufika hapo kisiwani
 
wenyewe wazanzibari hawalijui hilo!ogopa sana mtu anayekushinikiza ujitenge,uuje anataka njia nyepesi ya kukutawala kama sio kukufukuza kabisa.iko siku kama wazanzibar watajitenga,watajutia maamuzi yao!maana wataambiwa warudi kwenye asili yao na hao wanaowashinikiza wajitenge,wataenda wapi?
waarabu wanakitamani kisiwa cha zanzbar to siku walipokipoteza toka mikononi mwa KARUME hawajakisahau, wanatamani kurudi znz.

Waarabu wanakitaka kisiwa hicho lakini sina uhakika kama wanawataka waznz.
 
Nataka kujua kuwa mzawa wa Zanzibar ni nani na asili yake ..kwani hawa wenye uzawa wa kiarabu ni wakuja tu ...sasa je ni nani ni mzawa wa Zanzibar?

Wa asili ya kiarabu ndio wepi hao?

Kumbuka Uarabu si rangi, uarabu ni lugha na ni lugha inayoongewa sana Afrika kuliko kontinenti lingine lolote.
 
Bila kuongea maneno mengi, mtu asilia wa zanzibar ni mwafrika mweusi. Aliishi pale kabla hata ya utumwa. Walikuwa na miji yao na tawala zao kama utawala wa Mwinyi Mkuu ambaye ndiye aliyekutwa mji mkongwe (Stone Town kama ilivyo maarufu leo).
Hawa waarabu wanaopigapiga kelele ni wanyanganyi tu, wemeendesha biashara ya utumwa na kueneza imani ya uislamu ambayo ilienezwa kwa nguvu. Wame wakandamiza waafrika weusi kwa miaka mingi, kwa kuwauza kama watumwa na kuwatumikisha katika mashamba na shughuli zao nyingi kwa kuwalipa ujira mdogo. Faida iliyopatikana ilitumika kujenga majumba ya kifahari yanayoonekana leo hii Mji mkongwe ambayo walikuwa wakiishi wao na wahindi wafanya biashara mpaka mwaka 1964 waafrika walipochoka na kufanya mapinduzi wakiongozwa na Marehemu karume. Sasa wanataka kurudi tena kupitia kwa wajomba zao, na ndugu zao waliobaki huko Pemba sana sana, japo na unguja wapo kidogo.
Maelezo ni marefu sana kwa kweli, lakini nitakwenda moja kwa moja katika point ili nifikishe ujumbe bila kuchosha msomaji.
Kwanza tuanze kwa maana ya neno Zanzibar.
Zanzibar ni muunganiko ma maneno mawili ya kiarabu Zangi + bar (Zangibar) Zangi = mtu mweusi, na bar = pwani. Kwahiyo waarabu walipofika pwani hiyo ya Afrika mashariki waliwakuta watu weusi wana kaa pale, na wakapaita pwani ya watu weusi. Nadhani jibu mmeshalipata.
Waarabu waliwakuta wareno Zanzibar, na makanisa yalikuwepo pia. Ngome kongwe maarufu sana leo hii, ilijengwa na Wareno. Na katika hiyo ngome kongwe kulikuwa na kanisa ambalo lilibomolewa na waarabu.
Kabla sijaondoka kwenye point, nadhani nimesha jibu swali linalouliza mzawa wa Zanzibar ni nani? Kama mtataka niendelee kumwaga historia hii tamu zaidi niambieni.

waache wanaopiga kelele bila hata kujua kuwa wanatumika tena sio kwa maslahi yao,wamefungwa kwa minyororo ya dini hawajitambui tena,watakujashtuka wakati it is too late
 
SinaChama, lete habari zaidi tafadhali. Siku zote bwana kusoma kunasaidia sana kuliko kupiga vuvuzela na kushabikia vitu usivyovijua. Zanzibar waafrika weusi waliteseka sana na utumwa wa waarab. Leo hii waarab hao hao wanataka kurudia tena ule ukoloni wao kwa watu weusi hivyo wanarubuni walalahoi walete mwamko, na ile nchi ikirudia tena kwenye mikono ya waarab basi ndugu zetu mkae mkijua mtateseka shinda miaka ile. Je, mtaenda wapi?
 
Last edited by a moderator:
watanganyika walichukuliwa kwenda kutumikia waarabu.

Ndugu Zigzag. Waafrika wenye asili ya kibantu walikuwepo znj Kabla ya marabu kuingia znj. Hao wabara waliopelekwa utumwani walikuwa ni nyongeza tu.
Ukisoma historia utagundua waafrika weusi walimkaribisha marabu ili awasaidie kumpiga vita Moreno ambaye alikuwa anatawala Zanzibar kabla ya Muarabu. Kwa bahati mbaya Muarabu baada ya kumshinda mreno naye akawa mtawala.
 
Zanzibar haina mwenyewe,wote ni wa kuhamia.Wenye asili ya zanzibar ni wale nyani wa pale (du nimesahahu jina la ile hifadhi kama unaenda Makunduchi sijui inaitwa Jonzi)kuna nyani ambao hawapatikani sehemu yoyote duniani.Waliopo zanzibar ni wahamiaji tu kutoka nchi mbalimbali,Zanzibar ni kama Marekani utakuta kila aina ya watu kutoka nchi mbalimbali,kuna wachina wazanzibari,waturuki wazanzibari,wacomoro wazanzibari,maburushi wazanzibari,wanyasa,wanyamwezi,wadigo,waajemi,wajerumani ,wa oman nk.kwa kifupi hakuna mwenye zanzibar bana!! wote ni wahamiaji tu.
Hiyo mbuga inaitwa Jozani. Wavuvi wenye asili ya kiafrika ndio watu wa mwanzo kufanya makaazi Zanzibar . Neno zanzibar maana yake pwani ya watu weusi. Jina lenyewe linajitosheleza. Sasa ukweli kwamba baadae watu wa mataifa mbali mbali wamehamia nayo ni sawa.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom