Recent content by Negrodemus

  1. Negrodemus

    Natafuta marafiki wa kubadilishana nao mawazo

    Karibu. Niwe nakupa updates za mafuriko ya Somanga
  2. Negrodemus

    Fahamu jinsi ya kuinstall Mods kwenye Euro trucks simulator 2

    hoya hii ngoma inaweza sukuma hii kitu HP PROBOOK Processor Intel(R) Core(TM) i5-8265U CPU @ 1.60GHz 1.80 GHz Installed RAM 8.00 GB
  3. Negrodemus

    New Force yapata Ajali Tanangozi Iringa

    Ingekuwa Sauli Imepata ajar ungekuwa wimbo wa Taifa kila mtu angesema na kila media ingepost hata watu wa usalama barabarani nao wangesema kuwa kila siku anapata ajali amezidi wafungiwe wakati hawa Newforce ndiyo deile wanapata ajali wanakimbia ving'amuzi wanachakachua wawe wakwanza kufika Mbeya...
  4. Negrodemus

    Uhusiano wangu kimapenzi na "Hamida"

    Karibu sana mkuu Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
  5. Negrodemus

    Mshtuko: Kumbe Mikoa ya Morogoro na Katavi kuna Wasukuma?

    Msukuma ameamua kujiandikia uzi
  6. Negrodemus

    DC Alberto Msando akopa milioni106 benki ili kuwajengea wamachinga sehemu ya kufanyia biashara

    Ni above. Hao madas, wakurugenzi na wakuu wa idara wa lga ndiyo wanacheza kwenye tatu point tano na kuendelea. Jua DC yupo juu yao Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
  7. Negrodemus

    Nasumbuliwa na tatizo la koo kuwasha

    Kama upo Dar nenda magomeni kuna hospital inaitwa Ekenywa kapime allergy wale ni mabingwa wa magonjwa ya ENT Ear Nose Throat. Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
  8. Negrodemus

    DC Alberto Msando akopa milioni106 benki ili kuwajengea wamachinga sehemu ya kufanyia biashara

    Hawezi sema mshahara wa DC kwenye kadamnasi. Yeye ametaja kiasi anachochukuwa baada ya kukatwa kodi. Chunguza vizuri ujue DC anachukua kiasi gani ndiyo uje hapa. Wapo above 4.5M kwa mwezi Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
  9. Negrodemus

    Uhusiano wangu kimapenzi na "Hamida"

    Mkuu Shikamoo. Kama Mwenyezi Mungu akakujalia na ukapata muda tunaomba japo kwa kiduchu hii ya Hatimaye Rose ameniPM Kuna funzo kubwa sana nalipata hapa kupitia hizi simulizo zako. Asante
  10. Negrodemus

    Nini kiliua safari za moja kwa moja za mashirika ya ndege ya Ulaya kama Scandinavian Airlines na Lufthansa?

    Endelea kuhamasisha ndugu na jamaa waende nje wawe diasporaz utaona tu zinarudi
  11. Negrodemus

    Uhusiano wangu kimapenzi na "Hamida"

    Karibu sana kuna changes nyingi hospital ya sokoine kariakoo likotwa muhimbili mitema siku hizi kuna mji mpya unaitwa mitwero kuko vizuri sana.
  12. Negrodemus

    Uhusiano wangu kimapenzi na "Hamida"

    Karibu sana kusini. Mara ya mwisho kuja huku ni mwaka gani?. Lindi imefunguka siku hizi kwa gari binafsi ni masaa matano na basi masaa sita mpaka saba. Kuna nyumba mpya za National housing zimejengwa lakini pia zimeuzwa kwawadau
  13. Negrodemus

    Uhusiano wangu kimapenzi na "Hamida"

    Nipo Lindi kwa miaka kadhaa sasa. Nasikitika kusema kuwa bandari ndiyo inaendelea na ukarabati hakuna meli za abiiria sababu ya kufunguka kwa barabara ya kusini. Ila huu mji hauna tax kama ilivyokuwa miaka hiyo. Fun enough ninaishi national na maeneo hayo hayo uliyoelekeza nyumba ziliuzwa kuna...
  14. Negrodemus

    Harmony sex doll

    Wanapiga mizinga?
  15. Negrodemus

    Je, kutoka Dar es salaam kwenda Ruangwa kuna basi la moja kwa moja?

    Aje mondrane messy Y2K NR au kilimarondo
Back
Top Bottom