Nasumbuliwa na tatizo la koo kuwasha

Nasumbuliwa na tatizo la koo kuwasha

Ngodu

Member
Joined
May 20, 2013
Posts
25
Reaction score
7
Wanajamvi mimi naomba ushauri kupitia ukurasa huu wa doctor, usiku nikianza kusinzia au nikikaanga kitunguu, yaani koo linawasha natamani kujikuna na kidole ila siwezi.

Naomba ushauri na tiba tafadhalini.
 
Wanajamvi mimi naomba ushauri kupitia ukurasa huu wa doctor, usiku nikianza kusinzia au nikikaanga kitunguu, yaani koo linawasha natamani kujikuna na kidole ila siwezi, naomba ushauri na tiba tafadhalini.
Kama upo Dar nenda magomeni kuna hospital inaitwa Ekenywa kapime allergy wale ni mabingwa wa magonjwa ya ENT Ear Nose Throat.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom