Recent content by negotiator nodegi

  1. N

    Gari ya Kipanya iwe usafiri rasmi wa Rais Samia

    Naomba picha ya dash board tusome speed Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
  2. N

    Kaninyima namba ya simu ila mzigo kanipa simuelewi

    Hayo mambo ya kutamani kumpigia ndio hayataki ndio maana hakupi namba
  3. N

    CAG anapaswa kujiuzulu kwa kukiuka utaratibu

    Report ya CAG ikiwasilishwa kwa serikali inakuwa mali ya wananchi, so CAG anatoa muhtasari wa mambo mbalimbali yaliyojiri..jifunze uelimike ndugu
  4. N

    Kufanya kosa si kosa, kosa kurudia kosa. CHADEMA inakaribia kufa, hii ndio njia yenu pekee ya kujinasua

    Ila mkuu ki ukweli unapambana ni vile nyota yako haijatosha ila vuta subira bado nafasi zipo wakubwa watakuona.
  5. N

    Nini kifanyike kwa Upinzani tunapojiandaa na Uchaguzi wa 2025

    Binafsi sio haja ya kufanya uchaguzi mwingine kwa uharamia walioufanya ccm. Ni wakati sasa wa kuwaacha watanzania waburuzwe kwanza na ccm mpaka watapoamua kukiondoa hiki chama na utawala kwa maandamano.
  6. N

    GE2020 Kauli ya Sheikh Ponda yakanushwa na wahadhiri wa Dini ya Kiislam

    Na ya sheikh Alhadi ilikanushwa au ndo wamesubiri mpaka Ponda ndio kuanza kukanusha?
  7. N

    GE2020 Rais Magufuli amesaidia vijana toka vyuo kuajirika na wana maisha bora

    Kama umefuatilia kampeni utaona mgombea urais ccm alikuwa akimlaumu rais anayemaliza muda wake kwa vijana kukosa ajira, sasa wewe na unafiki wako unasema wameajiriwa liwe funzo.
  8. N

    Nimeangusha pesa ya rambirambi 300,000/= cash mchana huu

    Mkuu kuwa mkweli au umezipeleka kwenye maendeleo[emoji3]
  9. N

    Nape: Hata kama jina langu litakatwa sitakufa njaa kwa sababu nina elimu ya uhakika

    Kweli kuna watu hawajitambui kwahiyo anataka kusema wasio na elimu wanalala njaa???
  10. N

    Corona ni dalili ya mwisho wa Dunia

    Mkuu punguza woga mwisho wa dunia bado sana, jambo la msingi ni kuandaa maisha yako tu ili siku ukiaga dunia basi iwe heri huko uendako vinginevyo haya yanayiendelea yanabaki kuwa changamoto za hapa dunia. Wataalamu wanaeleza changamoto upande mwingine ni muhimu maana zinakuwa zime wachallenge...
Back
Top Bottom