Binafsi sio haja ya kufanya uchaguzi mwingine kwa uharamia walioufanya ccm. Ni wakati sasa wa kuwaacha watanzania waburuzwe kwanza na ccm mpaka watapoamua kukiondoa hiki chama na utawala kwa maandamano.
Kama umefuatilia kampeni utaona mgombea urais ccm alikuwa akimlaumu rais anayemaliza muda wake kwa vijana kukosa ajira, sasa wewe na unafiki wako unasema wameajiriwa liwe funzo.
Mkuu punguza woga mwisho wa dunia bado sana, jambo la msingi ni kuandaa maisha yako tu ili siku ukiaga dunia basi iwe heri huko uendako vinginevyo haya yanayiendelea yanabaki kuwa changamoto za hapa dunia. Wataalamu wanaeleza changamoto upande mwingine ni muhimu maana zinakuwa zime wachallenge...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.