Corona ni dalili ya mwisho wa Dunia

Corona ni dalili ya mwisho wa Dunia

Mkuu punguza woga mwisho wa dunia bado sana, jambo la msingi ni kuandaa maisha yako tu ili siku ukiaga dunia basi iwe heri huko uendako vinginevyo haya yanayiendelea yanabaki kuwa changamoto za hapa dunia. Wataalamu wanaeleza changamoto upande mwingine ni muhimu maana zinakuwa zime wachallenge watafiti kuja na tiba, kinga mbalimbali for better tomorrow.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bila shaka wewe ni Wale wasabato wanao watia watu woga ,siyo gonjwa la Kwanza la namna hiyo .mbona tabiri nyingine Bado kati ya ulizo taja.

N:b sipingi watu kumrudia Mungu ni jambo jema ,tena sa wakati huu wa matukio tu Bali wakati wote.
Hata wakati huu Kuna watu wanakufa si kwa korona pia wakati ujao hivyo Kila mtu ataondoka kwa wakati wake na sababu yake.
Si muda wa unabii hewa ni muda wa kuleta madini ni vipi tutatoka salama na janga hili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sema tu Uzi wangu wameuunganisha na uzi mwigine, nimeshajibu hoja yako kabla ya wewe kupost Uzi huu.
Sijabisha kuwa huu si mwisho wa dunia but corona haina uhusiano na mwisho wa dunia
 
IMG_7560.JPG

Kila janga likitokea watu wa Mungu mnasingizia ni mwisho wa Dunia, Moja ya ugonjwa uliopewa kiki na Media kuliko magonjwa yote yaliowahi kutokea ni Corona. Case za maambukizi zaidi ya watu 100,000 lakini waliofarini hawazidi 8,000. Yani maambukizi ni mengi lakini wanaofariki ni chini ya 1%
 
Hapo ulipofikia na ukafa ndo role yako kama character uki survive bado utaendelea na uhusika

But unfortunately life sio kama movie ni very unpredictable uwezi jua mbeleni nini kitatokea it's just like a puzzle


So mtu akisema ana purpose yake anaijua toka alipoumbwa ambayo ni guarantee na ataifanikisha ya yeye kuwepo dunia bado nashangaa

Yaani nakufa hata sija play role yangu iliyonileta hapa duniani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ugonjwa wa corona unakuzwa na media mkuu acha KUPANIC.... Hiv umejiuliza is it practically possible nchi yenye watu 1.2billion, na inayoongoza kwa uchafu duniani na pia imepakana na china {india} inakua na case 60 then then nchi safi yenye watu mill 60 (itally) inakua na maelf ya wagonjwa??? Shida ya watu mnapenda sana kumissuse maandiko
How??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
watu wametawaliwa na hofu ya kuogopa corona kuliko hata kumuogopa mungu.
 
Wewe mtoa maada naomba tu nikuambie wewe ni zwazwa.

Hizi pandemic huwa zinatokea kila baada ya miaka 100. 1920, 1820, 1720 hiyo miaka yote zilizuka pandemic ambazo ziliua watu wengi sana duniani.

Mfano mwaka 1920 Ilitokea Spanish flue ambayo iliua raia milioni 50. Hiyo ndio deadliest pandemic katika modern history.

Mwisho wa dunia ni wewe utakapokufa...

Idiot

Wakuu ukisoma dalili za mwisho wa Dunia katika mathayo 24:7 tafsiri halisi angalia biblia ya king James vision, utakuta neno PESTILENCES >> ni magongwa ya milipuko ambayo inaambukiza wengi kwa muda mfupi na kuua wengi..

Matthew 24:7 For nation shall rise against nation, and kingdom against kingdom: and there shall be famines, and pestilences, and earthquakes, in divers places.

Tahadhari ndugu yangu tumrudie Muumba

Tahadhari namba two kwa wale wakaidi Enzi za Nuhu ilikuwa hivi hivi watu aah Nuhu nae mara manyunyu mara mvua kubwa mara mito kujaa mara barabara..

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
si umesikia WHO wanasisitiza matumizi ya fedha za boti kusitishwa na hapo ndipo hiyo chip aka chapa inapokuja katika uhalisia wa waziwazi achana na kadi ya benki au simcard.

Sent using Jamii Forums mobile app
sasa kiongozi kuachana na kadi au simcard kuna tatizo gani?
si hao hao ndio walileta io mifumo sasa wanabadilisha au
kama watu walikuja na dini zao sasa ivi wanataka tuwe na moja utawabishia kweli? yani wewe ndio utakua unajua kuliko wao waliokuletea?
mi nadhani hakuna haja ya kuogopa, kama ni mwisho wa dunia uje tu tuache kutishana😎😎😎😎
 
Back
Top Bottom