Noel wa ruben
JF-Expert Member
- Oct 11, 2020
- 364
- 509
Hata huyo unaemwambia ni walewale
Report ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ikiwasilishwa bungeni au kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano inapaswa kujibiwa kwanza na vyombo hivyo.
Inakuaje Mkaguzi Mkuu huyu wa hesabu za serikali kawasilisha report na report haijajibiwa anaenda kuongea na wananchi kupitia vyombo vya habari hii jambo sio la kawaida pia sio sawa kiutendaji kitu.
Mh raisi tunaomba umsaidie hii kazi huyu CAG wetu
Habari za Geita mkuuReport ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ikiwasilishwa bungeni au kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano inapaswa kujibiwa kwanza na vyombo hivyo.
Inakuaje Mkaguzi Mkuu huyu wa hesabu za serikali kawasilisha report na report haijajibiwa anaenda kuongea na wananchi kupitia vyombo vya habari hii jambo sio la kawaida pia sio sawa kiutendaji kitu.
Mh raisi tunaomba umsaidie hii kazi huyu CAG wetu
Control- kwa maana ya kudhibiti, nadhani ni kama ilivyo elezewa kwenye katiba. Ibara 143(2)
(A)kuhakikisha kwamba fedha zozote zinazokusudiwa kutolewa kutoka Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali matumizi yake yameidhinishwa na kwamba zitatolewa kwa mujibu wa masharti ya ibara ya 136 ya Katiba hii, na iwapo atatosheka kwamba masharti hayo yatatekelezwa ipasavyo, basi ataidhinisha fedha hizo zitolewe;
(b) kuhakikisha kwamba fedha zote ambazo matumizi yake yameidhinishwa yatokane na fedha zilizomo katika Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali au fedha ambazo matumizi yake yameidhinishwa na sheria iliyotungwa na Bunge, na ambazo zimetumika, zimetumiwa kwa ajili ya shughuli zilizo husika na matumizi ya fedha hizo na kwamba matumizi hayo yamefanywa kwa kufuata idhini iliyotolewa kuhusu matumizi hayo;
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbwa mamakompumbavu mbwa wewe mbona marehemu makufuli aliposhika madaraka hakufukua machafu ya kikwete na alisema hawezi kufukua makaburi mtashindwa kurudisha michanga alikaa kimya kumsitiri mwenzake
Hiyo pia ni kazi yake.Jamaa huyu kwa kweli hajui mipaka yake....!!??
mambo ya foleni yanaihusu vipi ofisi yake....
hiyo ni kazi ya wataalamu wengine ie Tanroads
Wakati mnawananga akina JK walinyamaza kimya wakawaangalia na kucheka tu maana hawakuwa na namna..... Leo zamu yenu mnataka muonekane wema? Tulieni bhana unajua wakati dose ya Procaine inaingia usihangaike tulie ili upone.....Report ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ikiwasilishwa bungeni au kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano inapaswa kujibiwa kwanza na vyombo hivyo.
Inakuaje Mkaguzi Mkuu huyu wa hesabu za serikali kawasilisha report na report haijajibiwa anaenda kuongea na wananchi kupitia vyombo vya habari hii jambo sio la kawaida pia sio sawa kiutendaji kitu.
Mh raisi tunaomba umsaidie hii kazi huyu CAG wetu
kama kagusa maslahi yako,pole mkuuReport ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ikiwasilishwa bungeni au kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano inapaswa kujibiwa kwanza na vyombo hivyo.
Inakuaje Mkaguzi Mkuu huyu wa hesabu za serikali kawasilisha report na report haijajibiwa anaenda kuongea na wananchi kupitia vyombo vya habari hii jambo sio la kawaida pia sio sawa kiutendaji kitu.
Mh raisi tunaomba umsaidie hii kazi huyu CAG wetu
HUJUI UTARATIBU BWANA. ACHA KUTUSUMBUAReport ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ikiwasilishwa bungeni au kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano inapaswa kujibiwa kwanza na vyombo hivyo.
Inakuaje Mkaguzi Mkuu huyu wa hesabu za serikali kawasilisha report na report haijajibiwa anaenda kuongea na wananchi kupitia vyombo vya habari hii jambo sio la kawaida pia sio sawa kiutendaji kitu.
Mh raisi tunaomba umsaidie hii kazi huyu CAG wetu
Hamia chato kaburini paleReport ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ikiwasilishwa bungeni au kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano inapaswa kujibiwa kwanza na vyombo hivyo.
Inakuaje Mkaguzi Mkuu huyu wa hesabu za serikali kawasilisha report na report haijajibiwa anaenda kuongea na wananchi kupitia vyombo vya habari hii jambo sio la kawaida pia sio sawa kiutendaji kitu.
Mh raisi tunaomba umsaidie hii kazi huyu CAG wetu
Au wewe kigwangalaReport ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ikiwasilishwa bungeni au kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano inapaswa kujibiwa kwanza na vyombo hivyo.
Inakuaje Mkaguzi Mkuu huyu wa hesabu za serikali kawasilisha report na report haijajibiwa anaenda kuongea na wananchi kupitia vyombo vya habari hii jambo sio la kawaida pia sio sawa kiutendaji kitu.
Mh raisi tunaomba umsaidie hii kazi huyu CAG wetu
Azuie ili iweje kwa mfano, au unamaanisha kama alivyofanyiwa mwalimu wake Prof. Assad? TujuzeIna maana mama alishindwa kustopisha hayo yasitokee? Hivi unamaani mama hakujua kama itasomwa?
Hivi nani anakagua ofisi ya CAG isiwe anawaseme tu wenzake kuonekana wao ni malaika na wanafanya kazi kumbe nao ni walewale, nae akagulie kutoka mamlaka nyingine tena zitoke nje ya nchiReport ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ikiwasilishwa bungeni au kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano inapaswa kujibiwa kwanza na vyombo hivyo.
Inakuaje Mkaguzi Mkuu huyu wa hesabu za serikali kawasilisha report na report haijajibiwa anaenda kuongea na wananchi kupitia vyombo vya habari hii jambo sio la kawaida pia sio sawa kiutendaji kitu.
Mh raisi tunaomba umsaidie hii kazi huyu CAG wetu
Namaanisha mama alikuwa na uwezo wa kuizua isisomwe.. Ile kuiacha isomwe maana yake alijua kinachoendelea...Azuie ili iweje kwa mfano, au unamaanisha kama alivyofanyiwa mwalimu wake Prof. Assad? Tujuze
Eti linataga...we bro ni kibokoWaliokarabati ndege mbovu kwa bilion nne kasoro na bado dude linataga pale airport hawajajiuzulu