Mzee mwanakijiji, mbona huyu jamaa anajitahidi sana kutenda kazi, suala la mgao wa umeme ni bahati mbaya tu imetokea kwenye uzalishaji wa gas, mbona kipindi chake hiki mambo yamekuwa mazuri tu au kwakuwa anaongea ukweli sana?? Huyu jamaa kwa nchi kama hii anafaa sana, tatizo tumezea maneno...