Nimekuwa nikipata taabu niwapo safarini, hasa nikiwa na familia pale unakuta njia nzima anawekwa Harmonize, Diamondi n.k., ni kama mumeingia mtandaoni mnaangalia picha za ngono.
Yakipatikana mabasi yanayojali maadili na kuweka picha za heshima kwenye video zao itapendeza zaidi.
Hela ishaletwa ya corona halafu watu hawachanjwi, walioleta pesa wanatazamia kuona lengo lao linatimia. Kipindi kibaya sana hiki katika historia ya dunia.
Jamani ni vyema sisi watanzania tukapendana sisi kwa sisi. Tambua, Maendeleo ya mtanzania mmoja ni mchango kwa jamii yote. Tuangalie namna ya kusaidiana, kutoelewana kwetu ni faida
na kwa adui zetu. Kwa chuoni, fanya Biashara itakayokupatia faida na wakati huohuo isiathiri masomo yako. Unaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.