Wapo sana hujataka tu kuwapatia watumie. Humu kunaonekana kuna me manati sana looo sijui ndio wanaanza maisha pamoja na wewe watu8 maana ukisoma komenti zao unaona kabisa hapa hata book 2 ya vocha ataweka turbai kama kuna msiba.Samahani lakini watu8.
Mkuu Tyta, kutokana na huwa unanifikisha mahala pake, pls unakunywa nn na utakula nini w/end hii. Hii ni special for u afu ni PM tigo pesa au m-pesa yako nami ni do ze needfull.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.