Anipa onyo baada ya kuhisi natembea na mkewe

Anipa onyo baada ya kuhisi natembea na mkewe

Kata, mawasiliano, usichati nae wala usimpigie wala kupokea sim zake. Unajua inaelekea haujui kitu kimoja, baada ya ya kumtilia shaka mke wake kaenda pata toka kampuni za sim ni namba ipi mke wake ansongea nayo na kuchati kwa muda mrefu. Pia atakuwa amesoma message zako na zake.

Mpaka hapo, ndani ya Harrier ulikuwa mikoni mwake. Take care na usirudie kuwa karibu na mke na mtu achilia mbali kutembea nae.

Be warned.
 

Attachments

  • 1425097136560.jpg
    1425097136560.jpg
    6.4 KB · Views: 413
Katoe sadaka ya shukrani! Mwanaume wa kweli hatoi Onyo! Hii haitarudia tena BADILIKA!
 
Alafu nyie msiooa mnahisi na saws tu kudeal na wake za watu ila Siku zote hakuna siri,yakikukuta ukiachwa hai naanini hautokaa urudie kwani unakuwa in harari ya mauti
 
Mwanamke anasafir kwenda kwa wanaume wengine wewe anataka kukutumia kama chambo uje ufe bure sasa hapo kiufupi ni kwamba kati ya wanaume wote alionao huyo mwanamke wewe ndio anayekuchukia kuliko wote...tafakar utajua kwanini
 
Afu kwa nn uchukue mke wa mtu,hebu fikiria ujue kuna mtu anamchukua mama ako wakati baba ako yupo na hajui,utajiskiaje,kitendo cha kuchukua mke wa mtu ni tusi kwa mkeo kuwa yy si bora na tusi juu yako kuwa umeoa kitu cha hovyo,tusiendekeze tamaa tujizoze kufunga tamaa ya ngono,ni dhambi ni aibu na ni hatari kwa maisha yetu,
K=kifo
U=umaskini
M=maradhi
A=aibu
 
ohoooo muepuke huyo dada yan kata mawasiliano naye kabisa, huyo mumewe sio kabisa mijitu ya aina hiyo hatari kabisa usikute ndio al-shabaab mwenyewe atakuchinja wallah....
 
ohoooo achane na huyo mwanamke ikiwezekana mblock kabisa utakuja kuchinjwa nakwambia mijitu ya aina hiyo kama mumewe ndio kina al-shabaab wenyewe, endelea utolewe mhanga.
 
Akate mawasiliano ...ikiwezekana badili hata namba ya simu
 
Nimefuatilia nimejua yule.mwanamke anakochepukia so nafkria nimwambiaje mme wake
 
Back
Top Bottom