Recent content by Ndesaika

  1. N

    Ogopa ma senior bachelor

    Kumbe mimi ni Bachelor General
  2. N

    CCM: Serikali imepiga marufuku maandamano na si mikutano

    Kupitia ITV nimemsikia OLE Sendeka ikieleza kuwa Mikutano ya Kisiasa haijazuili kilicho zuiliwa ni maandamano tu !! ......Je kauli yake ni ya kweli ?? kaniacha njia panda kwa kweli.
  3. N

    Jacqueline Wolper arudi CCM

    Duuuu ...!!!
  4. N

    Napendekeza ukumbi wa 'Karimjee' ubadilishwe jina

    UMESEMA KWELI TUPUUUU !!!!
  5. N

    Napendekeza ukumbi wa 'Karimjee' ubadilishwe jina

    Acha ubaguzi wa chuki na kilofa! !
  6. N

    ACT Wazalendo: Kauli ya Rais Magufuli ni vita dhidi ya demokrasia na uhai wa vyama vingi nchini

    VYAMA VYA SIASA VIKUTANE HARAKA TENA MAPAMBANO YA KWELI NA DHATI YAANZIE ZANZIBAR ZEN TUHAMIE BARA MPAKA KIELEWEKE !
  7. N

    ACT Wazalendo: Kauli ya Rais Magufuli ni vita dhidi ya demokrasia na uhai wa vyama vingi nchini

    Namuunga mkono zito 100% ningesema mengi lakini naogopa kumtusi .........nikaja kamatwa na kunyeeea ndoooo Demokrasi kwishnee hapa Dar ! no more Uhuru..TZ
  8. N

    Mtoto wa Magufuli (Jesca) sijui alifikaje Chuo Kikuu?

    Lazima na wewe utakuwa KILAZA, si bure ! !
  9. N

    Rais Magufuli: Tutagawa bure Sukari itakayokuwa imefichwa

    Ndugu wadau Serikali yetu ilipewa i kuhusu upungufu huu wa Sukari na baadhi ya viongozi wa Bunge lakini tulisikia majibu ya kebehi toka Serikalini kuwa ni uongo mtupu na Sukari ipo ya kutosha na viwanda vyetu vinatosheleza kwa mahitaji yetu hapa nchini. Chakushangaza hivi majuzi tu Serikali...
  10. N

    Tumuombe apate Busara na Hekima JPM

    Acha kutokwa povu ndugu , jaribu kuwa na Busara .... !! Uhuru wa Habari ni Muhimu Duniani kote, mbona wao wanatumbua majipu Hadharani ? Basi na wao wasiite vyombo vya Habari wanapo tumbua...... !! Nchi ni yetu wote msijitie umalaika msiokuwa nao. ... !
  11. N

    Tumuombe apate Busara na Hekima JPM

    Acha kuwa mnafki kwani huoni mambo yanayo endelea na matukio yanayotokea ......!!!! Bunge la wananchi limezuiliwa kuonyeshwa live wakati wao mambo yao ya serikali wanayatoa live ..... !! Na mengine mengi tu..... !
Back
Top Bottom