Kupitia ITV nimemsikia OLE Sendeka ikieleza kuwa Mikutano ya Kisiasa haijazuili kilicho zuiliwa ni maandamano tu !! ......Je kauli yake ni ya kweli ?? kaniacha njia panda kwa kweli.
Namuunga mkono zito 100% ningesema mengi lakini naogopa kumtusi .........nikaja kamatwa na kunyeeea ndoooo Demokrasi kwishnee hapa Dar ! no more Uhuru..TZ
Ndugu wadau Serikali yetu ilipewa i kuhusu upungufu huu wa Sukari na baadhi ya viongozi wa Bunge lakini tulisikia majibu ya kebehi toka Serikalini kuwa ni uongo mtupu na Sukari ipo ya kutosha na viwanda vyetu vinatosheleza kwa mahitaji yetu hapa nchini. Chakushangaza hivi majuzi tu Serikali...
Acha kutokwa povu ndugu , jaribu kuwa na Busara .... !! Uhuru wa Habari ni Muhimu Duniani kote, mbona wao wanatumbua majipu Hadharani ? Basi na wao wasiite vyombo vya Habari wanapo tumbua...... !! Nchi ni yetu wote msijitie umalaika msiokuwa nao. ... !
Acha kuwa mnafki kwani huoni mambo yanayo endelea na matukio yanayotokea ......!!!! Bunge la wananchi limezuiliwa kuonyeshwa live wakati wao mambo yao ya serikali wanayatoa live ..... !! Na mengine mengi tu..... !
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.