Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,196
- 25,516
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesema kuwa Serikali haijapiga marufuku mikutano ya siasa ila imepiga marufuku maandamano. Kauli hiyo imetolewa na Msemaji wa CCM, Christopher Ole Sendeka.
Sendeka amesema hawajazuia mikutano ya kimaendeleo kama ya Madiwani kwenye kata zao. Amesema huko Longido mkoani Arusha. Amesema :'hatujazuia mikutano...maandamano marufuku'
Swali binafsi-Kumbe chama nacho chaweza kuzuia!?
Chanzo: ITV
Sendeka amesema hawajazuia mikutano ya kimaendeleo kama ya Madiwani kwenye kata zao. Amesema huko Longido mkoani Arusha. Amesema :'hatujazuia mikutano...maandamano marufuku'
Swali binafsi-Kumbe chama nacho chaweza kuzuia!?
Chanzo: ITV