Usimba na Uyanga Ni ugonjwa hivi unawazaje kuamini uwezo wa Sven ukadharau uwezo wa kocha mzoefu Kama Didier com on guys ifike mahali tue tunaheshimu taalamu za watu ata Kama utani wa jadi upo lakini usivuke mipaka.Mtu anauliza eti hofu yake wachezaji kufundishika Kwan before hawakua na kocha wa...
Kuna Mambo Machache Ambayo Unaweza Kuyafanya Lakini Kabla Ya Kukueleza Hayo Kwanza Nikupe Pole Kwa Kua Muhanga Wa Matatizo Ya Kimapenzi Na Nikupe Hongera Kwa Kujitoa Kwako Katika Kutimiza Agizo La Upendo Ambalo Tumepewa Na Allah Kua Tupendane Ingawa Tunaenda Tofauti Na Misingi Ya Dini Na Imani...
Tetesi zilizopo ni kwamba nusu ya wachezaji wa simba ni wagonjwa wanafosiwa tu kucheza na ukweli kufichwa ila wengi wameokota corona Nigeria.C.E.O wa zamani yupo hoi kitandani.Ni wakati mgumu kwa simba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.