MTAtiro grandson
Member
- Aug 18, 2019
- 80
- 177
Mchezo wa leo mmeonaje KIWANGO cha sapong tumuache au tuendelee naee
Sarpong nadhani utulivu na utimamu wa kimchezo hana ila touches zake zinaonesha ni mchezaji mzuriHivi Yanga wanaokota wapi haya magarasa ? huyu hana tofauti na JAMA MBA .
Auzwe tu, hana analolifanyaMchezo wa leo mmeonaje KIWANGO cha sapong tumuache au tuendelee naee