Unakumbuka wapi katika picha hii.

Unakumbuka wapi katika picha hii.

Nakumbka boarding,though mimi hii kitu nilikua situmii kabisa, nilionekana siku za ugali samaki or ugali nagaa,na za wali tu
 
Kiukweli humu tunavimba na ID fake tu ila wengine ni vitoto balaa.. ww wakati unaandika mtihani miaka karibia muongo ndo tukaja duniani..

Shikamo baba 🙂🙂
Ukitaja jina hili nakumbuka 1987 kidato cha pili huzami kwenye paper ya form two kama huna kadi ya umoja wa vijana yachama na kuna mtu yupo mlangoni kama huna kadi unauziwa iliniuma sana hela yangu sh.600/=
 
027ca3e13b367178cbf44099aae19517.jpg

Salesian seminary
 
Hahahaaa.....maisha ya boarding yana raha yake bhana.........
 
Shule Ya Ufundi na Sekondari Moshi PCM 2005-7 hiyo iliitwa "Benga" na nilikuwa nalijaza uji saa nne nikirudi Class ni usingizi tuu. Hamna walimu sasa nifanyaje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom