Mkuu, nahitaji kujua jinsi ya kujisajili Leo nimemsikia mh, Bashe akisema pia na nimekuwa mfatiliaji mzuri Ila nashindwa jinsi ya kujisajili, Mimi ni mwanafunzi wa chuo nahitimu saut mwaka huu, bachelor Nina ardhi ekari 60 Tabora, nimepanda korosho Ila nahitaji kulipa zao jingine naomba nisaidie
Habari wanajukwaa na poleni kwa mihangaiko ya week nzima.
Niende moja kwa moja kwenye mada, wakati nakuwa nilikuwa nikisia wakati wa usiku hupaswi kutaja neno chumvi na hata mtu au jirani akija kuomba Ili apewe ni lazima aseme dawa ya mboga endapo atasema chumvi basi huyo hatapewa.
Je, ni...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], tunao wengi Sana nyumbani mzeee afu huwa atiwafungii bandani ni kutembea uwanjani usku mzima na wanapiga kelele kishenzi
Walipo kwa sasa baadhi ya wahusika wa gazeti la Sani na Bongo.
Sokomoko ni mgonjwa wa ini sababu ya unywaji Sana wa pombe Yuko kwao kigogo,
Ndulakuwili alipigwa nusu kufa kwa Tabia zake za wizi na utapeli kariakoo sasa hivi anabeba mizigo mabibo sokoni.
Kipepe na Njomba Nchumali walinusurika...
Mkuu habari Mimi ni nimekuwa nakufatilia thread zako kwa muda wa miaka mingi toka miaka hiyo hadi Leo nimeona umebarikiwa na unacho kipaji cha kipekee hasa katika masuala ya kiroho na ulimwengu mwingine nahitaji msaada kama utakuwa tayari kunisaidia Nina mwanangu wa kiume ana mwaka mmoja na...
Sote tumesikia juu ya sheria ya kivutio - lakini vipi kuhusu sheria ya polarity, sheria ya umoja wa kimungu, au sheria ya mawasiliano? Hiyo ni kweli.
Sheria 12 za ulimwengu zinafikiriwa kuwa sheria za ndani, zisizobadilika za ulimwengu wetu ambazo tamaduni za zamani zimekuwa zikijulikana kila...
Kaka
Naomba namba yako au naomba nipigie Mimi kwa namba yangu 0654431820 nahitaji hiyo master plan ya kilimo Cha tikiti maji naomba tuwasiliane tafadhali.
Inaitwa Clash of the titans
Hapan hiyo movie inaitwa the immortal, clash of the titans inazungumzia historia ya miungu wa kigiriki akina zeus na Persians
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.