CCBRT na bei za miwani ya macho

CCBRT na bei za miwani ya macho

Mkuu ww hujui unachokiongea, nimeenda eye clinics za kitaa mara baada ya kutoka ccbrt na nikaambiwa vipimo vyao ni 15k na lens inategemeana na aina ya lens, nikawatajia yangu, wakanambia 30k frame zipo 40k-90k,sasa cjui maana yako
NB; Nimeenda eye clinics tatu na zote majibu hayapishani na nilichokiandi saana iwe kwa kupungua au kuongezeka
Mm nna tatzo mkuu kila sehem nkienda pima miwani tatzo langu kubwa sana hadi lensi zina goma
Vp apo ccbrt naweza saidiwa
 
Kwenye hii picha yako kiongozi naona kama lens zinautofauti kidogo.. Sio za aina moja zote.. Angalizo sio Daktari ila number zako zinatifauti..

Mie nilitibiwa sana tangu utoto.. Na miwani ilikuwa ikubali jicho la kulia inagoma kushoto na vice versa.. Zaidi nilikuwa naumia zaidi..

Few years back nikaenda pale Shoppers Mikocheni.. Yule Mzee wa kihindi tukasota Naye kwa muda mrefu sana.. Nenda rudi nenda rudi.. Akamuomba rafiki yake yupo CCBRT ila ana clinic pia pale Masasni karibu na ilipokuwa NMB kabla hawajahama..

Tulitumia Muda mwingi kwenye vipimo na Pesa nyingi sana niliacha Lancet .. Running a series of blood work. Mwishoni akanipa dawa za elfu 22.. Na relief was evident..

Nachosema ni kuwa pale ccbrt they know what they are doing.. Lengo sio kukupa tu miwani.. Wanataka uone.. Unlike other places. Na kama wamesema ni being hiyo then I believe them.

Mimi sio Daktari.. Ni mtazamo wangu tu Mkuu.
 
mkuu Acha kuchafua na kudharirisha professional za watu,

kuna kitu kinaitwa quality kitu ni kile kile ila ubora tofauti,

CCBRT huduma zao ni standard high quality hawana ubabaishaji
wao hutoa huduma kulingana na kile walichokiona kwenye vipimo na sio kile ukitakacho wewe.. wewe umetoka huko kwenu ukiwa na majibu yako mfukoni unataka wakupe miwani kama ya mwanzo ukiwa hujui kuwa afya yako ya macho inabadilika kila mara

ninachokiona mm hapo ni kwamba afya yako ya macho ilivyokuwa awali na hivi sasa ni tofauti

ulitakiwa utumie elimu yako kufikiria sawa sawa ..pale CCBRT unafanyiwa screening kwa mashine za kisasa tofauti na huko kwenye clinics wanakotumia local methods
 
CCBRT wanafanya hadi surgery za macho wapo vizuri Tanzania nzima kwa upande wa macho

kwahiyo unapoenda hapo kuwa na nidhamu.. mimi nakushauri urudi tena ukachukue hio miwani pia omba medical report na wakupe ufafanuzi kuhusu afya yako ya macho

nina mifano mingi sana ya watu waliojuta kwa ubishi wao kwenye maswala ya afya ya macho kama wewe

fuata nilichokuambia kwa faida yako
 
Hahhh. Mimi nina daktar wangu miwan navunja kila mara. Ananiuzia kwa 30000 ni miwan nzur design ya zile za JK
 
Kitu kama nimekipenda na ni kwa faida yangu na pesa ninanyo huwa siangalii gharama. Nakumbuka nishawahi chukuwa miwani kama 3 hivi hapo ccbrt. By then it was very expensive na sikuwahi jiuliza mara mbili mbili.

Lens ninayotumia ni photochromic hivyo gharama zake ni juu pia. Lakini kuwa ni kitu nikipendacho najipanga nanunua. By now natumia frame ya plastic ni ya designer. Including lens and frame ina cost not less than 500k. Btw, the price sio hapa bongo.
 
Bei ya lens mara nyingi huwa ni nafuu zaidi ya frame. Chukua vipimo nenda pale Pangani eye clinic Muhimbili ukaulizie bei.
 
Mkuu chukua cheti hicho kipeleke mnazi mmoja hosp watakutengenezea miwani bei rahisi
 
Mbona sijakuelewa, unalalamika kwa kuwa huitaki hiyo miwani yako mpya au? Kama vipi, pale kwa Mtogole karibu n ofisi ya CCM kuna fundi anatengeneza miwani (frames) kwa kutumia mbao, spoku za baiskeli, waya chakavu...yaani ana imitate miwani. Mpelekee lenses zako atakufanyia kwa bei poa sana.
 
Boss vip napenda kuuliza gharama za kuanza pale unaingia mapokezi kupima macho mpaka kuonana na daktar kuna gharama kias gan??
 
Mimi yakwangu iliyovunjika now, niliichukua aga khan mwanza kwa sh 75 nikiwa na lens x, baadae nikaenda kubadili lens ilikuw sh 40k na ilikuw na magnification ya 0.75
Mkubwa vipimo vya macho hapo Agakhan ni gharama gani mkuu
 
Back
Top Bottom