Ule ugomvi mdogo mnajifanya mnatuletea tumikono twenu kupiga, nakukamata kwa nguvu kifuani huku nikikupa maneno matamu mwishowe kitu kinatafuta njia ya umangani. Ila hapo mi ndiyo mwenye kosa Dogo. Ukweli umri unachangia ukubwani mambo mengi hata ya kimaisha.
Ila wazungu wana mambo mengi sana sijuwagi kwa Nn wanapenda kutembelea Zanzibar kwa kiwango hicho Labda mi sijui ukiondoa mahoteli ya fukwe zao kuna nini zaidi
Weee nakaa mbele na mke wangu, Mara kasketi kamajivuta naona upaja kwa mbali, Mara kakaa kiupande upande hips limenyanyuka burudani barabarani. Mama kukaa siti ya nyuma haimpunguzii upendo na heshima. Duuu sina gari Nina bodaboda hiyo siti ya mbele naitoa wapi?
Mkuu kama anawajibika na mambo mengine ya familia hapo nyumbani na kitandani, mbona hivyo vitu vinatosha kwa mke, mambo ya academic ya Nn kwenye ndoa? Hiyo na mengine ya kisomi kisomi tumia akili yako kujazia ili Maisha yaende
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.