Tuwe wakweli kwamba Nyerere alifanya vibaya kuua Uhuru wa Tanganyika na kugawa rasilimali za Watanganyika kwa Wazanzibari wasiotaka vyao kuguswa

Mimi ujamaa wa Nyerere sikuusoma darasani nimeusoma maishani kwa vitendo. Isipokuwa ujamaa niliousoma nimeusoma Nchi moja ya Kikomunisti yaani Marxism huko Ulaya
Vizuri, kwahiyo haujui kanuni au misingi ya Ujamaa wa Mwalimu kwakuwa haukuusoma darasani?

Kama hautojali waweza kututajia ni ujamaa wa nchi gani huko Ulaya uliousoma?
 
Simtetei Mwalimu, nipo hapa kuhakikisha watu hawatumii ukosefu wa Data kupotosha wengine.

Niamini, niko tayari kubadili msimamo wangu endapo utathibitisha madai yako kwa ushahidi wa kuaminika.
Sasa Kama ni uongo na wewe ni msomi ungalivitafuta kwanza vitabu vya Peter Smith na Sivallon ukavisoma mwenyewe
 
Sasa Kama ni uongo na wewe ni msomi ungalivitafuta kwanza vitabu vya Peter Smith na Sivallon ukavisoma mwenyewe
Mkuu hoja za bwa Smith si zimeelezwa na Imani Petro?

Sina shaka na ninaamini uhuru wao kusema wanachotaka.

Ninachotaka toka kwako ni tufikiri kitunduifu (critically) tusiyachukue maneno ya Smith na wenzie kuwa ni kweli tupu.

Ninataka tuyapime, na hatuwezi pima kama hatuna data za upande wa pili zinazojaribu kuthibitisha vinginevyo mkuu.

Tupate data za pande zote kisha ndiyo tuamini ipi kweli ipi uongo.

Kuwa na data za upande mmoja na kuzichukua kama zilivyo na kuhitimisha ni uzushi katika ‘reasoning’.
 
Rasilimali gani hizo za hao unaowaita Watanganyila zilizogawiwa Zanzibar? Hivi unafahamu kwamba >60% ya Watalii wanaokuja Tanzania wanakuja sababu ya Zanzibar na siyo Bara ? Unajua utalii unachangia kiasi pato la Taifa kwa ujumla?
Ila wazungu wana mambo mengi sana sijuwagi kwa Nn wanapenda kutembelea Zanzibar kwa kiwango hicho Labda mi sijui ukiondoa mahoteli ya fukwe zao kuna nini zaidi
 
Soma vizuri nimekuandikia kitu gani
Hukunijibu swali langu mkuu, niliuliza unaijua misingi/kanuni za Ujamaa wa mwalimu?

Wewe ukasema kuwa haukuusoma darasani bali kwa vitendo.

Majibu yako hayaendani na swali langu. Hivyo ikanilazimu kua ‘assume’ kuwa huujui, lakini kabla ya kufanya hivyo nikakuuliza kama unamaanisha huujui au unamaanshaje.

Ungenijibu kwanza tupate mtiririko mzuri wa mawazo yako.
 
Na gia zinavyobadilishwa angani huko wallahi bin Taabana Tanganyika tutaisoma Namba.

Wazanzibari wanatuchukia kwa nguvu zote na kutubagua kwa maksuidi tukiwa huko Zenji.

Ajira za serikali za Zanzibar inabidi uwe mzanzibari na ukilazimisha kuomba watabaki kukushangaa kwenye interview umeenda kufanya nini, wao wanaomba kote kote za huku bara tunazogawana nao na huko kwao kwajili ya peke yao.

JKT wabara wakimaliza mafunzo ni ngumu sana kupenya idara za ulinzi ila Zanzibar wananynyekewa sana kuingizwa idara za ulinzi, wabara wengi wanamaliza JKT pale wanarudi kulima vijijini ama kwenda Suma JKT kupokea mishahara ya laki 2, wachache sana wanatoboa kwenda idara za ulinzi, kwa Wazanzibari yani kumaliza JKT ni shavu.

Ardhi, leseni za udereva, siasa, n.k, mavyo vishazungumziwa sana kuhusu tabia ya vyao kutoguswa.


Iiiiiiiiihhhh..... duh
 
Mkuu hoja za bwa Smith si zimeelezwa na Imani Petro?

Sina shaka na ninaamini uhuru wao kusema wanachotaka.

Ninachotaka toka kwako ni tufikiri kitunduifu (critically) tusiyachukue maneno ya Smith na wenzie kuwa ni kweli tupu.

Ninataka tuyapime, na hatuwezi pima kama hatuna data za upande wa pili zinazojaribu kuthibitisha vinginevyo mkuu.

Tupate data za pande zote kisha ndiyo tuamini ipi kweli ipi uongo.

Kuwa na data za upande mmoja na kuzichukua kama zilivyo na kuhitimisha ni uzushi katika ‘reasoning’.

Kama ni uongo kanisa lingalitoa kauli kupinga na Serikali ingalipiga marufuku hivyo vitabu Kama vitabu vyengine vilivyonekana havifai kusomwa na public, kinyume chake ni kuwa ni kweli
 
Hukunijibu swali langu mkuu, niliuliza unaijua misingi/kanuni za Ujamaa wa mwalimu?

Wewe ukasema kuwa haukuusoma darasani bali kwa vitendo.

Majibu yako hayaendani na swali langu. Hivyo ikanilazimu kua ‘assume’ kuwa huujui, lakini kabla ya kufanya hivyo nikakuuliza kama unamaanisha huujui au unamaanshaje.

Ungenijibu kwanza tupate mtiririko mzuri wa mawazo yako.
Kama hukuridhika na majibu ni choice yako mwenyewe
 
Nyerere ndiye aliyevamia na kuuwa watu kwa maelfu. Lengo ni kuupiga vita uislamu. Hii si siri ushahidi upo
Japo sio muumini wa huu muungano wa kitapeli, lakini Nyerere aliupiga vita uislamu vipi, wakati hiyo Zanzibar muda wote wa utawala wake hadi sasa, 98%+ ni waisilamu? Tafuta sababu yenye mashiko na sio huu utoto ulioongea hapa.
 
Kwa huku wengi ni wavivu kwahyo kama wataomba kaz na ulinz watao enda jkt ndio watao ajiriwa
Upendeleo upo ukitak kaz utasikia uwe na kitambulisho cha mzanzibar

Nipo huku mwez navizia day work , nmesikia lesen zetu za udereva huku hazitakiw
Na gia zinavyobadilishwa angani huko wallahi bin Taabana Tanganyika tutaisoma Namba.

Wazanzibari wanatuchukia kwa nguvu zote na kutubagua kwa maksuidi tukiwa huko Zenji.

Ajira za serikali za Zanzibar inabidi uwe mzanzibari na ukilazimisha kuomba watabaki kukushangaa kwenye interview umeenda kufanya nini, wao wanaomba kote kote za huku bara tunazogawana nao na huko kwao kwajili ya peke yao.

JKT wabara wakimaliza mafunzo ni ngumu sana kupenya idara za ulinzi ila Zanzibar wananynyekewa sana kuingizwa idara za ulinzi, wabara wengi wanamaliza JKT pale wanarudi kulima vijijini ama kwenda Suma JKT kupokea mishahara ya laki 2, wachache sana wanatoboa kwenda idara za ulinzi, kwa Wazanzibari yani kumaliza JKT ni shavu.

Ardhi, leseni za udereva, siasa, n.k, mavyo vishazungumziwa sana kuhusu tabia ya vyao kutoguswa.
 
Na gia zinavyobadilishwa angani huko wallahi bin Taabana Tanganyika tutaisoma Namba.

Wazanzibari wanatuchukia kwa nguvu zote na kutubagua kwa maksuidi tukiwa huko Zenji.

Ajira za serikali za Zanzibar inabidi uwe mzanzibari na ukilazimisha kuomba watabaki kukushangaa kwenye interview umeenda kufanya nini, wao wanaomba kote kote za huku bara tunazogawana nao na huko kwao kwajili ya peke yao.

JKT wabara wakimaliza mafunzo ni ngumu sana kupenya idara za ulinzi ila Zanzibar wananynyekewa sana kuingizwa idara za ulinzi, wabara wengi wanamaliza JKT pale wanarudi kulima vijijini ama kwenda Suma JKT kupokea mishahara ya laki 2, wachache sana wanatoboa kwenda idara za ulinzi, kwa Wazanzibari yani kumaliza JKT ni shavu.

Ardhi, leseni za udereva, siasa, n.k, mavyo vishazungumziwa sana kuhusu tabia ya vyao kutoguswa.
ndio chanzo Cha matatizo tuliyonayo.
 
Hivi unajua Kuanzia mwaka jana airport ya Zanzibar ndiyo.inapokea wagenii wengi zaidi kuliko ya Dar?
Ni kwa sababu njia za kufika Zanzibar ni mbili tu
Boti na ndege.
Hicho kijiji cha maghofu yaliyopakwa chokaa kingekuwa kinafikika kwa barabara, hiyo airport isingeipita Dar.
 
Kama ni uongo kanisa lingalitoa kauli kupinga na Serikali ingalipiga marufuku hivyo vitabu Kama vitabu vyengine vilivyonekana havifai kusomwa na public kinyume chake ni kuwa ni kweli
Katika ‘Logic’ hiyo hoja yako ni uzushi unaoitwa ‘Post hoc ergo propter hoc

Hatuwezi kusema kuwa kwakuwa Kanisa halikukataa basi ni kweli.

Hatuwezi sema ati kwakuwa Gavana amesema To yeye hajafundisha leo na To yeye hajathibitisha wala kupinga wala kukasirika kwahilo basi tuhitimishe kuwa To yeye ni kweli hajafundisha.
 
Katika ‘Logic’ hiyo hoja yako ni uzushi unaoitwa ‘Post hoc ergo propter hoc

Hatuwezi kuegemea kuwa kwakuwa Kabisa halikukataa basi ni kweli.

Hatuwezi sema ati kwakuwa Gavana amesema To yeye hajafundisha leo na To yeye hajathibitisha wala kupinga wa kukasirika kwahilo basi tuhitimishe kuwa To yeye ni kweli hajafundisha.

Hivyo vitabu kama ni uongo visingaliuzwa na kanisa na Serikali ingalipiga marufuku. Kuna vitabu kama Zanzibar Revolution cha John Okello kilizuiwa kuuwa, kitabu cha Satanic verses kimepigwa marufuku . Wewe Kama unaona Mapadri walidanganya endelea kuamini . Uhuru Huo unao
 
Back
Top Bottom