Amani iwe nanyi nyote
Kama mada inavyosema, ni kwamba nahitaji kuagiza gari kutoka Japan, nimependelea kuitaja Mazda CX-5 ya kati ya 2013 - 2014 kwa sababu nimeona mwonekano wake ni mzuri ila sijui kuhusu uimara na upatikanaji wa spea zake
Naomba ushauri kwa wazoefu, je ni gari ya kununua ama...
Ndo akili yako ilipoishia hatukushangai, na wew unajiona mjanjaaa kwamba umeingiza watu mkenge 😂😂😂. Sema wengi hawamwelewi Mungu, wana picha za uongo tofauti na Mungu alivyo. Ameelezewa kwa ufahamu wa binadamu wenye upeo mdogo. Na hiyo ndo sababu wengi watakwambia hakuna Mungu.
Ushauri wangu...
Mwamba wew umelinganisha na nani ukaona chako ni kibamia? Kuanzia 6.6" na kuendelea ni abnormal. Kuanzia 4.5" -6.5" ni normal. Chini ya 4 ndio vibamia.
Tafuta demu umtie adabu utanishukuru badae
😂😂 Katika maisha yangu mtu mmoja hawezi kunifanya nichukie jinsia nzima ya Ke... Never
Mapenzi ni sanaa kama mziki n.k kwamba you can date with any woman/girl na asikuchoke. Ukiona unatemwa na kila mwanamke kajifunze sanaa ya mapenzi kwanza ndio urudi. I mean shida sio jinsia ya Ke ni wew...
How much are you sure for your statement? Sometimes you don't have to argue for something you have no evidence. Maneno tu hayana ushahidi, pia tuondoe hisia binafsi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.