Habarini wakuu polen na pilika za kampeni hizi zinafurahisha na kuhuzunisha pia .
Naomba kwenda moja kwa moja kwenye mada naomba kujuwa kwa uhitaji wa huduma za IT kwa mkoa huu ikiwemo kufanya programing na networkng soko lake likoje na vipi kuhusu mazingira ya huko na vyumba vya kupanga kwa...
Kwa uzi huu hapa mimi ngoja nikanunue dagaa kwanza maana nahisi njaa tu,makomandoo na mausalama endeleeni kufungana kamba hapo mkichoka mkanywe kahawa kavu bila kashata 🤔🤔🤔
Nenda Tarime Nyamongo alafu uongee hivi kuwa kalifanyia nini taifa hili uone kama hujawahishwa kuzimu, maana hata mbinguni huendi kwa sababu una harufu ya shetan
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.