GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,571
- 108,920
Kuanzia Wiki iliyopita hadi leo hii nimekuwa nikiyaona yafuatayo katika Jimbo la Uchaguzi la 'Cow Way' Jijini Dar es Salaam.....
1. Usafi unafanyika wa hali ya juu
2. Barabara zinatengenezwa
3. Kuna Sura nyingi mpya mpya
4. Ukiwa tu Mwenzako ukianza Kuzungumzia Siasa ghafla unaona Umati umeongezeka
5. Kuna Watu wanahoji Maswali ya Kimitegomitego sana
6. Uwanja wa Tanganyika Packers kuanzia leo uko chini ya Vijana wa Kazi wakiulinda
7. Askari Polisi na Mgambo bila kuwasahau Ulinzi Shirikishi wapo 'busy' mno Tanganyika Packers.
Wengine tupo mbali sana na Vyombo vya Habari nchini hivyo kwa yoyote anayejua nini Kinaendelea hapo 'Cow Way' atuhabarishe tu sote tafadhali.
1. Usafi unafanyika wa hali ya juu
2. Barabara zinatengenezwa
3. Kuna Sura nyingi mpya mpya
4. Ukiwa tu Mwenzako ukianza Kuzungumzia Siasa ghafla unaona Umati umeongezeka
5. Kuna Watu wanahoji Maswali ya Kimitegomitego sana
6. Uwanja wa Tanganyika Packers kuanzia leo uko chini ya Vijana wa Kazi wakiulinda
7. Askari Polisi na Mgambo bila kuwasahau Ulinzi Shirikishi wapo 'busy' mno Tanganyika Packers.
Wengine tupo mbali sana na Vyombo vya Habari nchini hivyo kwa yoyote anayejua nini Kinaendelea hapo 'Cow Way' atuhabarishe tu sote tafadhali.