Recent content by Nazi Ignition

  1. Nazi Ignition

    Profesa Tibaijuka aitabiria ushindi CHADEMA

    Huyu sasa ndio prof
  2. Nazi Ignition

    Daah! Bora ningesoma

    Elimu haiwezi kuacha kuwa dili, inatakiwa ujue elimu na kuelimika ni vitu viwili fofauti. hao unao sema wamesoma ni kweli wamesoma na hakuna anayekataa eti hawajasoma ila ukweli mwingine ni kwamba wamesoma ila hawajaelimika. Kuna watu mtaani hawajaenda shule kupata formal education ila...
  3. Nazi Ignition

    Je, ni Dkt. Samia ndio haliamini Jeshi au kuna hali ya hatari ndani ya Jeshi?

    Ulichofanya ni kunyanyua mkia wa mbwa dume ukaona kinachofichwa na huo mkia halafu ukauliza huyu ni⭐ ⭐ ⭐ ⭐
  4. Nazi Ignition

    Tribute to Dennis Busulwa (Ssebo), Aliiheshimu Sana TCRA na Kuiita Baba! Alitamani isiitwe Mamlaka ya Udhibiti, iitwe Mamlaka ya Ulezi wa Utangazaji!

    Mi nilidhani TCRA wanadili na media halafu bodi ya ithbati wanadili na mtangazaji kama mtangazaji anamiliki hiyo media basi bodi na TCRA wanashugulika nae kumbe Kumbe TCRA wanasogeza pua hata kwa mtangazaji ambaye hamiliki media hili ni tatizo. Ila tatizo kuu ni TCRA na bodi kutumika...
  5. Nazi Ignition

    Je, ni Dkt. Samia ndio haliamini Jeshi au kuna hali ya hatari ndani ya Jeshi?

    Jeshini hakunaga kaunda hizo, labda samuya aambataene nazo akielekea huko. sasa hapa kaunda zimeambatana na mkuu wa majeshi. bado tu hujaelewa maana yake?
  6. Nazi Ignition

    Siku hizi hatutongozi tena wanawake… tunawapa tu “idea” tu!

    mimi huwa situmii ideas sababu sijali kuhusu kukataliwa, mke ninae hivyo sitegemei kuanzisha mahusiano yenye malengo mengi nje ya ndoa. Bas huwa naomba mzigo kwa nodhamu ya juu direct huku nikimuangalia ana kwa ana sababu sipigi simu au kuchat kwenye hili. eye contact itathibitisha vile niko...
  7. Nazi Ignition

    Siku hizi hatutongozi tena wanawake… tunawapa tu “idea” tu!

    wewe jama unafeli sana, kuna wanawake wanapenda watu smart kichwani, akikusikia unavyopangilia fact tayari yeye analowa hapo bado hujaanza kumletea za kumtaka.
  8. Nazi Ignition

    Kijana, don't settle with your agemate

    Mke wangu alikuwa ni pisi ya kwenda yaani huyo Rihana changanya na manzi mwingine mkali unayemjua. Mtoto wa kwanza wa pili mafuta yakaanza akapata ka kitambi flani hivi sema tu yuko na salio anabalance equation yaani na vile sipendi vitambi.
  9. Nazi Ignition

    Ton Jaa & Iko Uwais Vs Scott Adkins & Michael J White; Pair gani itaibuka mshindi?

    Hizo pair zimekaa hovyo mimi napanga namba kabisa. 1. Jaa 2. Adkins 3. White 4. Uwais
  10. Nazi Ignition

    Nawezaje pata/calculate square meter kwa eneo lenye pembe 4 lenye urefu tofauti?

    kapime walau angles tatu au zote, na pia upime exact length of all sides ulete hapa ni calculate unachotaka
  11. Nazi Ignition

    Kuwa member wa magroup ya wasapu ya walimu wasaka ajira inahitajika uwe na roho ya paka

    Huu mtihani ni wa wanaume, itabidi niende nikasome hapo niachane na US
  12. Nazi Ignition

    Natafuta mtu aliyeko DSM anayetaka kufanya mtihani wa Kidato cha 6 kama ‘Private Candidate’ mchepuo wa EGM

    Mimi sipo Dar Sisomi ila naweza kukusaidia Math ukikwama pahala usichelewe kunambia.
  13. Nazi Ignition

    Namtafuta Bantu lady

    Nahisi zele vocha alizokuwa anatoa inaweza ilikuwa ni operation maalumu ya ku_ID watu humu, ukiweka vocha wana namba yako ya simu jina na nida au inaweza kuwa ilikuwa vocha tu.
  14. Nazi Ignition

    KERO Tabia ya Shule za Serikali kugomea uhamisho hadi Mwanafunzi awe na Wastani A inaumiza sana

    Wewe ilitakiwa uende hapo shuleni ukiwa na barua ya mtoto wako kupangiwa hapo. Hakuna anaye kataa seme ni wewe tu ndo unatengeneza mazingira ya rushwa.
  15. Nazi Ignition

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Tuwe tunaangalia mpira wazee analysis pekee haifai, Naangalia Napoli anavyocheza hadi inaniuma kumuweka kwenye mkeka wangu, yaani sipendi timu inayotegemea mipira ya krosi ndo ifunge. Yaani wanacheza kama mashoga. Utaratibu wangu mpya sibetii timu inayopenda mipira ya krosi saivi timu...
Back
Top Bottom