Recent content by Nazareth_NCP

  1. N

    Wake zetu msilalamike kuwa tunachepuka, ninyi ndio mnasababisha

    Hiki ndio chanzo cha ndoa nyingi kuvunjika, wanawake wengi wakishaolewa wakajaliwa watoto wanajisahau kabisa kuendeleza wajibu wao ndipo pale michepuko inapata mwanya wa kuteka mume wa mtu. wanawake wanatakiwa waendelee kufundwa ili ndoa iwe salama na amani wao ndio player maker.
  2. N

    Wataalamu wa kilimo Cha mahindi mje hapa..

    hapo ni mchwa ndio wana yaangusha chunguza vzr, pia kama kuna hali ya ukame inachangia sana kufanya mahindi yaanguke kwa baadhi ya maeneo
  3. N

    SoC01 Jinsi Kilimo kilivyobeba utajiri na umasikini

    uzi mzuri sana, umezungumzia mengi mazuri kuhusu kilimo, njia pekee ya kumsaidia mkulima ni kuanzisha scheme za umwagiliaji nchi nzima kwa maeneo, kuondoa kodi kwenye pembejeo za kilimo ili kupunguza gharama za uzalishaji pia serikali ianzishe chombo kitakacho tafuta masoko ya uhakika nje ya...
  4. N

    Hofu ya maambukizi ya VVU inanimaliza kiafya, nilishiriki ngono na muathirika wa UKIMWI

    mrudie Muumba wako tubu, na uoe uwe na mke wako mmoja, haya yote hayatakupata hofu ni ugonjwa mbaya sana, na kamwe usiamini hizo prep ipo siku utazikosa ndipo hapo utalia na kusaga meno, be very careful aids kills.
  5. N

    Naomba ushauri, naogopa kumuoa huyu mwanamke

    kikubwa omba sana Mungu akupe maono kama huyo uliyenaye ndio au laah, ukienda kwa akili za kibinadamu na hisia muda mwingine zitakuingiza chaka
  6. N

    Mamlaka husika fanyieni utafiti haya malori aina ya FUSO

    Fuso ni janga binafsi sinaga hamu nazo kabisaa, mifumo yake ya breki sio imara kutokana na modification's wanazofanya watz, gari kupasua rim ni kitu cha kawaida yani hizi gari ni kichomi.
  7. N

    Bei ya vitunguu sokoni ipo vipi?

    nilikua hapo jumamosi grade one ilikua 110,000 mpk 120,000 grade 2 ilikua 90,000 mpk 100,000 jana na leo sijaenda huko nijue hali ya soko. sema sasa hivi huenda itapanda tena maana wakenya wameshafungua mipaka ya wao kuweza kusafiri huenda wakaanza kuja kwa wingi huko mashambani na bei...
  8. N

    Kilimo cha maharage ya njano

    huwa inategemeana na mvua wenginr wanapandaga kipindi cha vuli kama mvua za mwaka jana na wakavuna vzr, wengine wanapanda masika ambapo ni uhakika zaidi. vuli huwa wanapanda mwezi wa 10 mwishoni au 11 mwanzoni kutegemeana na mvua ila kipindi cha masika huwa wanapanda mwezi wa 3
  9. N

    Bei ya vitunguu sokoni ipo vipi?

    Siku hizi hakuna wakenya wanaoingia soko la kilombero kununua vitunguu, wakenya wanaenda shambani moja kwa moja mang'ola kununua, hapa kilombero wanunuzi ni wamama na wafanyabiashara wengine wanaopeleka kwenye masoko ya ngaramtoni, usa river, sadala nk. pamekua pa tofaut sana kilombero sio kama...
  10. N

    Kilimo cha maharage ya njano

    inaenda hadi august kutegemeana na muda ambao mtu alipanda mazao shambani.
  11. N

    Kilimo cha maharage ya njano

    Navyofahamu ni wilaya ya simanjiro ndio wanalima kwa wingi mashamba yapo ya kununua na mengine ya kukodisha hakuna kilimo cha umwagiliaji watu hutegemea mvua.
  12. N

    Naomba kunisaidia hii hali niliyo nayo: Naweza kumsaidia mtu hata kama ninacho kidogo natoa nabaki sina kitu

    unamposaidia mhitaji yoyote unakua umemkopesha Mungu naye hatakuacha kwenye maisha na mapito mbali mbali unayopitia.
  13. N

    Nimeachwa na mpenzi sababu anataka tuishi pasipo ndoa (sogea tuishi)

    ikimbie zinaa, ni vema ukarejea kwa Mungu ukatubu dhambi zako na uombe toba na rehema Mungu ni mwaminifu atakupa wa kufanana nawe mtafunga ndoa yenu takatifu na mtafurahia maisha, kamwe usije ukafuata ya mwilini utapotea.
  14. N

    Changudoa kaniganda

    Pole sana cha msingi mshauri awe na akili ya kutafuta hela kwa shughuli halali ambazo zitamfanya awe na mawazo chanya tofaut na kazi anayoifanya ni heri aanzishe mama lishe au kijiwe cha chips atafanya vzr pia inategemeana na fursa zilizopo hapo mtaani maana sio wote wanaojiuza wanapenda wengine...
Back
Top Bottom