Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 9,540
- 33,972
Ndo maana Bus za kichina kazkazn n chache bado zipo zle lori zenye body ya bus ya kuchonga huku ina engine ya scania machalii wanapenda mlio wa scania balaa wakiuskia hadi wanaisindikiza kwa miluziYaan hili tatizo vijana wa kaskazini sijui watasaidiwaje. Huwa wakikaa bar wanasifianaga kbs bwana jama unatembea sana wewe hufai. Basi wanaona sifaaaa... yaani hizo filimbiii daah. Hata bure sithubutu kupanda lift. Halaf ukikuta dereva ameshaiva kvant ama nyagi anaona kama hatembei hv. Na ingine aweke kwenye kichupa cha maji sikilizia filimbi zake. Na usimombe gari haina mzigo.
Sahiv had pikpik zinaharibiwa exhaust na zinapigwa Moshi tatu ili ilie kama scania