Recent content by NaughtyGuy

  1. NaughtyGuy

    Mke wa ndoa akichepuka bora umgeuze msukule upate hela

    Omba Mungu asikuletee like gonjwa ukaanza kula njugu. Sema tatizo wakiwa wa natoka nje akili zao zinaendesha na genye so hata condom hawaulizagi na jicho wanaliwa vizuri tu bila shida. Kwahy kukuketea ungonjwa ni 100% so ukihisi tu wewe km huwezi mfukuza bora uondoke wewe. Sent using Jamii...
  2. NaughtyGuy

    Mke wa ndoa akichepuka bora umgeuze msukule upate hela

    Kugongewa nowadays ni kitu kisichozuilika Sent using Jamii Forums mobile app
  3. NaughtyGuy

    Je, kuunganisha raundi kuna madhara kiafya?

    Ukipiga waza watu wasiojulikana wapo mlangoni....utaonganisha tu
  4. NaughtyGuy

    Wadau wa mchezo wa mieleka (wrestling)

    End of Days.....hii kwishaaaa ukipigwa
  5. NaughtyGuy

    Banki sio rafiki kwa Mfanyakazi/mtu wa kipato Kidogo

    Hili ndio tatizo jingine la private co....Matajiri kamwe hawataki kudhamini mtu Bank. Na bank wanahutaji kitu kama hiko...so watu wanabaki njia panda....
  6. NaughtyGuy

    Banki sio rafiki kwa Mfanyakazi/mtu wa kipato Kidogo

    BANK NI KUNDI LA WAHUNI LA KUWAFANYA WATU MASIKINI...NA NILIJITAHIDI KUWANASUA KWENYE HII ISHU ILA NDO HVY WENYE BANK WAKANIUA ..."JF KENEDY"
  7. NaughtyGuy

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Sijawahi kuwa na wasiwasi wa nani tutakutana nae after makundi hata miaka tuliyoingia fainali yote nadhani tulikuwa wa 2 pia. Hii mechi nilijua ngumu kutoka sababu napoli wangepania sana...ndo maana mwanzo nilisema asichoshe wachezaji apange tu akina lallana na shaqiri ili tumuwaze chelsea maana...
  8. NaughtyGuy

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Hili kundi kwa vyovyiote tutapita. So sioni sababu ya kuumiza watu kwa hii game ya ugenini ya Napoli. Pumzisha Van dyk ...weka lovren na Gomez Pumzisha robertson mweke milner Weka Mane bench panga Lallana kule Weka salah benchi panga Shaqiri Weka Firminho benchi panga brewster mbele Anord...
  9. NaughtyGuy

    Kashfa ya Ngono Vyuoni: Kama una kisa chochote tupia hapa

    Yupo tu kwake sasa hv..palepale perfect vision sema mgonjwa mgonjwa now hana mbwembwe tena tangu atumbuliwe ukuu wa wilaya ya MBOZI. UDSM KAWALA SANA
  10. NaughtyGuy

    Upigaji Punyeto: Zijue hasara/ madhara pamoja na njia sahihi za kuacha tabia hii

    Since 2002 til.now still going strong....still going hard. Hakuna kitu kama kile aseee. Sema kwa afyaa
  11. NaughtyGuy

    Part 2: TISS bado safari ngumu

    Haya tunayoongea wala hayataweza kutokea mpaka tutakapotiana Adabu ndio wataamka usingizi na watafanya mambo kwa maslai ya Taifa sio ya Chama. Ila kwa sasa wapo kwenye Mode ya "Sikio La Kufa"[emoji88]
  12. NaughtyGuy

    Part 2: TISS bado safari ngumu

    Tulishaboronga....Tusubiri likorogeke vizuri ili Tulinywe
  13. NaughtyGuy

    Ngetti: Nape ulichokifanya ni aibu ya maslahi sio msamaha, na jimbo la Mtama sio lako tafuta chama kingine hilo lishapangwa kitambo

    Kwani wanashida na mipango na wakati wana polisi na tume. Yaani wewe wa ajabu. Yaani niwe rais wa nchi hii halfu nihamgaike na mipango ya uchaguzi...Serious?? Naamrisha tu
  14. NaughtyGuy

    Kuuza mafuta na maji ya upako Ni sawa na kuuza rozali ,biblia nk ni vifaa vya ibada

    Unajaribu kujustify tu hizo biashara BUT ni WIZI TU.
Back
Top Bottom