Niliwahi pitia hali kama yako na ilinitesa kipindi chote cha masomo yangu ya masters, hatimaye nilifanya uamuzi wa kuachana na hiyo kazi bila kuuliza wala kushirikisha mtu yeyote..hatimaye nimejiajiri na nina amani tele, Fuata moyo wako ila jipange vizur pia!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.