Midhali umetafakari ukafikia hatua ya kuomba ushauri tayari umegundua njia unaliopita awali haikuwa sahihi, mama ni mtu muhimu sana katika muongozo wa maisha yako, rudi kwa mama mpigie magoti muombe radhi atakusameh, weka nia ya dhati kuacha pombe haina faida kwako, Mtangulize Mungu kwakila...