Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 52,078
- 126,196
Hahaaaa. Lol.Mie siezi kudhalilishwa kushikwa kalio na mume wangu mbele za watu aku
Udhungu huo eti dada.
Hahaaaa. Lol.Mie siezi kudhalilishwa kushikwa kalio na mume wangu mbele za watu aku
Bado unahamu ya kuchepuka!????Usilete uchaga Tanga utaishia kupiga nyet....!!!
Unakuta mwanaume anaaibu kama kademu kaform 3c,hawezi kumshika mpenzi wake hata mkono mbele ya watu,hawezi kumkiss mpenzi wake hata kiss la shavuni mbele ya watu yani mwanaume anakua na utoto sana.
Wengine wanajifanya ni wagumu mara wao ni hip hop hawa wanatokea kaskazini hawako romantic kabisa
Mwenzio naitwa danga sina mapenzi ya kitoto..!!!
Huo co uzalilishaji mbonaMie siezi kudhalilishwa kushikwa kalio na mume wangu mbele za watu aku
Msimamo wetu ndio huo kila mtu atembee pekee ushikwe kwan unavushwa barabara [emoji57] [emoji57]Ni kweli kabisa mm sidhubutu kufanya jambo kama hilo hadharani!
Ila sasa tukiwa chumbani najiachia kuliko shetani
Kama ni wachagga tupo hivo, basi acha nidumishe uchagga wangu
Lakin huyu mwenye aibu cndo kakuonja[emoji57]Usilete uchaga Tanga utaishia kupiga nyet....!!!
Unakuta mwanaume anaaibu kama kademu kaform 3c,hawezi kumshika mpenzi wake hata mkono mbele ya watu,hawezi kumkiss mpenzi wake hata kiss la shavuni mbele ya watu yani mwanaume anakua na utoto sana.
Wengine wanajifanya ni wagumu mara wao ni hip hop hawa wanatokea kaskazini hawako romantic kabisa
Mwenzio naitwa danga sina mapenzi ya kitoto..!!!
Ndo huyo huyo mkuu leo kawa kungwiNdo wewe uliyechepuka juzi?
Nafasi ya Jose hii bebeWanakuja wachuga
Jiandae
[emoji23] tunacheka kihutu
Kapotea kabisa yule,,bando si mchezoNafasi ya Jose hii bebe
Hahaha nimekumisi lakiniKapotea kabisa yule,,bando si mchezo
Ni kweli kabisa unachokisema mkuu,kaskazini wametuandama saanaMmh. Sio kwa kuwaonea kaka zangu kiasi hicho.
Nadhani ni huyo uliyekutana naye tu ndio ana hiyo shida
I mic u more bby gal,,,,,leo ulikua kimya mnoo kuleeHahaha nimekumisi lakini
Usilete uchaga Tanga utaishia kupiga nyet....!!!
Unakuta mwanaume anaaibu kama kademu kaform 3c,hawezi kumshika mpenzi wake hata mkono mbele ya watu,hawezi kumkiss mpenzi wake hata kiss la shavuni mbele ya watu yani mwanaume anakua na utoto sana.
Wengine wanajifanya ni wagumu mara wao ni hip hop hawa wanatokea kaskazini hawako romantic kabisa
Mwenzio naitwa danga sina mapenzi ya kitoto..!!!
Nyumbani??Nilikua on duty as u know bebeI mic u more bby gal,,,,,leo ulikua kimya mnoo kulee
AiseeToka lini wanaume wa kichagga wakajuwa mapenzi? Wao na ndugu zao (watoto wa Dar) hawachekani sana isipokuwa wachagga hawachezi rede wao wamejikita zaidi kwenye kupiga punyeto kama machizi, wizi, na ulaghai tu....hawana kabisa time na mademu. Ukiona kijana wa kichagga anajihusisha na mademu basi huyo atakuwa kalaaniwa na wazazi wake kisa kakataa wizi na ulaghai.
Haya mamiii...Nyumbani??Nilikua on duty as u know bebe