Soma kitabu cha Imaam Abubakar Aajuri kiitwacho "Akhalaq al Ulamaa" uwajue kina nani Ulamaa sio unaandika vitu bila marejeo.Aah, kijana wetu Zurri haelewi kuwa hiyo ni "honorific title" ya Waislam wanaowacha athari "impact" ya kielimu kwenye jamii.
"Literally" ni Mwalim wa Waalim.
Naona kule kwa ISIS ukaondoka mazima. Nakukumbusha tu nakudai.