mwalimu ni facilitator kwa mwanafunzi,
na vyuoni hufundishwa jinsi ya kumwongoza mwanafunzi uelewa wake katika masomo,
ni vigumu sana kuelewa kama sio mwalimu,
saikologia ktk kumwongoza mwanafunzi pasina shaka hujui wewe.
acha watu wafanye kulingana na taaluma zao,
kama hijui uliza usoropoke