Mkuu nina Iphone SE,karibuni nilibadili battery Lakini Tangu nimebadili inapata joto kali sana hasa nikiwasha data.
Nini sababu ya hilo tatizo na endapo linarekebishika bei yake kiasi gani?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kama ulimaanisha iPhone 6s ni nzuri chukua inapata update kama kawaida.
Lakini kama ulimaanisha IPhone 6 hiyo achana nayo haipati tena update.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Naomba sana ujumbe huu uwafikie wahusika.
Miongoni mwa njia wanazotumia viongozi wa vyama vya msingi kujitajirisha kwa kuwaibia wakulima ni kuwa na mawe ya mzani yanayoiba.
Tatizo hili ni kubwa kuliko inavyodhaniwa lakini halijaguswa wala kuzungumzwa. Na mwaka huu hali imekuwa mbaya zaidi...
Katika shule aliyofanya mtihani mtoto wangu.
Kati ya wanafunzi 180 waliofanya mtihani ni wanafunzi 67 tu ambao matokeo yao yametoka,waliobaki unakutana na alama ya nyota kisha w,nini tafsiri yake?
Kama mmeamua kutengeneza app kwa ajili ya chanel zenu vipi tena inawapata kazi ya kuzihamisha kila mara Yaani kukiwa na football mechi mnahamisha chanel ili eti watu wakaangalie kupitia ving’amuzi,Yaani Yaani bado hamjui kwamba watu wako karibu na simu zao kuliko ving’amuzi ambavyo wameviacha...
Tatizo sio kilomoni,tatizo ni wana simba wenyewe.
Mtu kama kilomoni ambae hata umkabidhi amnunulie chai kagere hawezi anadiriki kuivuruga simba na Bado anapewa airtime?
Mtu mjinga kabisa...na wazee wenzake ambao hata kujinunulia shati hawawezi eti wanaopigania simba?
Pumbavu sana.
Na bado eti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.