hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,451
- 6,325
Ni kweli kabisa naomba sana mungu Rais asije siku akaangalia ile chanel ya Tanzania Safari ambayo imefunguliwa kwa mawazo yake na kuzinduliwa na waziri mkuu
Najua kabisa siku akiangalia atafukuza watu kazi yani nia uhakika wa asilimia 1000
Hii chanel tangu siku imezinduliwa mpaka leo naona cd yao ni hiyo hiyo moja, Makala zao ni hizo hizo tangu siku imezinduliwa
Hakuna kipya wala hakuna ubunifu wowote, its like mtu anaweka play then anaenda kulala
For sure ni aibu sana kwa inchi ya pili kwa utalii duniani kuwa na chanel ya utalii ambayo inaonesha uozo kama ule nasema tena ni aibu sana
Hivi ni kweli kabisa taasisi kubwa ya serikali wanashindwa kwenda mbugani huko au kokote kwenye utalii na kupiga kambi na kutengeneza documentary mzuri?
Mbona hata clouds tv wana kipindi chao cha kambi popote mbona kina mvuto sana nyie mnashindwa wapi? AIBU SANA
Najua kabisa siku akiangalia atafukuza watu kazi yani nia uhakika wa asilimia 1000
Hii chanel tangu siku imezinduliwa mpaka leo naona cd yao ni hiyo hiyo moja, Makala zao ni hizo hizo tangu siku imezinduliwa
Hakuna kipya wala hakuna ubunifu wowote, its like mtu anaweka play then anaenda kulala
For sure ni aibu sana kwa inchi ya pili kwa utalii duniani kuwa na chanel ya utalii ambayo inaonesha uozo kama ule nasema tena ni aibu sana
Hivi ni kweli kabisa taasisi kubwa ya serikali wanashindwa kwenda mbugani huko au kokote kwenye utalii na kupiga kambi na kutengeneza documentary mzuri?
Mbona hata clouds tv wana kipindi chao cha kambi popote mbona kina mvuto sana nyie mnashindwa wapi? AIBU SANA