H
Hiyo ni kweli! Unakuta maamuzi yake kichwani ni ya aina mbili akupige akusulubishe au akuue, sasa akiona ugomvi wenyewe sio wa kumpa haki ya kukufanyia kati ya hayo mawili inabidi ajifanye fala tu. Ila hao kama ulivyosema "hatari yao ni mbaya kuliko...."
Za mda huu! Wadau natafuta nakala za vitabu(hard copy) vya E.Chahali kwa hapa Dar es salaam. Either ni mmiliki wa bookstore - - waweza nielekeza wapi bookstore yako ilipo nikaja kuvinunua, au kama unafahamu wapi vinapatikana waweza nirefer.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.