Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
- Thread starter
- #741
i was trying to quote someone else, nikajikuta ninajijibu. i am sincerely sorry for thatMbona unajijibu?
i was trying to quote someone else, nikajikuta ninajijibu. i am sincerely sorry for thatMbona unajijibu?
mambo vp? nakuona tu na hizo good zakogood
okay sawaSaikolojia ni pana sana mkuu.
Jua kwamba,kila mtu au akili ya mtu ni kifaa,kibaweza kutumika vyovyote.
Iwe kwanzia una umri wa miaka sita au ishirini kuendelea.
UNAFIKIRI NINI LENGO LA SCOUT?
UNAFIKIRI NINI MALENGO YA MAFUNZO YA WATOTO YA HALAIKI?
nipo kaka yangu. vyuma tu ndio vimekazamambo vp? nakuona tu na hizo good zako
Hivyo vyuma vimekazaje mkuu au ulikua mpigadilinipo kaka yangu. vyuma tu ndio vimekaza
Mkuu umesahau kitu kimoja, ukweli ni kwamba jalala unalolidharau ndo limebeba siri ya maisha yako, my slogan nionyeshe jalala lako nijue level ya maisha yako.Mi kinachonishangazaga kuhusu watu wa aina hii, jinsi wanavyojua kufanya kazi yao, ni pale mtu anapojifanya kichaa, ombaomba, shoeshiner, mvuta bhangi n.k ile kupata information fulani, unakuta mtu katokea Mwanza anakuja kujifanya kichaa Dar, hakuna anayemjua, anaifanya kazi yake saaafi, akimaliza anarudi alipokuwa(ofisini Mwanza), kuna mtu alishakwepwa na mtu posta ambaye alishawahi kuwa kama kichaa mtaani kwao kwa muda then akatoweka ghafla, yaani watu walishangaa mtaa ghafla umepata kichaa wasiyemjua, wakawa wanampampa vyakula vyakula,muda mfupi baadae ghafla akatoweka, siku hiyoaliyomuona posta alitaka amfuate amsalimie, akakwepwa, alimshangaa cause alikuwa amepiga nguo smart za ofisi, akajua yule hakuwa kichaa kweli kuna mtu alikuja kumfuatilia mtaani kwao, alipowaambia wenzie mtaani hawakuamini, eti yule kichaa kamkuta that smart mjini wakati alikuwa anavaa nguo chafuchafu na kulala nje mtaani kwao
There you're...wapo ambao wako ndani ya system ambao they were just made but they lack some qualities kwa kuwa " corruption " ilipenya.Katika uasilia, angalia mfano wa wadudu wadogo mfano sisimizi na jamii yake, nyuki nk.
Utajifunza kuwa askari huzaliwa.
Ukiwa na bahati ukaonwa na kutimiza vigezo vingine utapatiwa mafunzo...
Tunao 'askari' wengi mitaani lakini hawakubahatika kuonwa au kupata mafunzo ama vigezo havikukamilika lakini ikiwaona tu utahisi wangefaa kazi ya uaskari...
Kwa 'spies' vivyo hivyo lakini lazima uwe 'flexible' na 'little more intelligent'. Vyoye hivi ni kwa kuzaliwa, mafunzo huwaongezea uweledi...
Kujibu swali, '...spies are born and made...'
However: Katika nchi corrupt kuna uwezekano wa kukuta spies wasiostahili, yaani ambao IQ zao zipo chini sana...
But have a lot to do with your question.Mkuu zile ni fictitiously thrilling movies...lakini najua wenyewe wazee wa jando wapo humu!
Nyongeza: kwa maeneo ya shule hasa sekondari,wakuu wa shule huwa na role kubwa ya kuanza kuwaona na kupeleka mapendekezo.dah!
mara nyingi kunakuwepo na viashiria ambavyo vinaweza onekana tangu udogoni.
viashiria hivi vinaweza kuwa kutambuliwa na mtu wa familia ambaye tayari yuko kwenye system. ikitokea hivi na huyo mtu wa familia akaona utafaa basi anaweza akawa "anakulea" na kukujenga ili baadae iwe rahisi kukushawishi kuingia huko.
aidha viashiria hivi vinaweza kuonekana katika mfumo wa makuzi na elimu, mfano mwalimu wako, jirani yako, ndugu wa rafiki yako n.k.
pia wapo wataalamu kutoka ofisi kuu ambao nao wanajukumu la kutambua vipaji (potential candidates).
baada ya "kuonekana" unafaa inakuja ushawishi na kukujengea mazingira ya utakapo fuatwa na kuombwa kujiunga usisite kukubali. miaka ya awali chuo kikuu na jkt vilikuwa viwanja vya mawindo kwa watu wa "taaluma". mkufunzi kutoka makao makuu alikuwa na "warsha" ya siku moja na wanafunzi wa mwaka wa kwanza kuwaelezea umuhimu wa usalama hii ilikuwa ni mbinu ya kuwatayarisha wanafunzi kifikra ili wanapofuatwa wasisite kujiunga (ikumbukwe wakati huo chuo kikuu kilikuwa kimoja tu, hivyo hapo ndio palikuwa na jumuiko la wasomi wetu). idm mzumbe pia ulikuwa uwanja wa ajira(ingawa wakati huo haikuwa chuo kikuu)
kwa maneno mengine mtu anazaliwa na viashiria lakini viashiria hivyo lazima viboreshwe. usisahau kila sehemu hawa watu wapo kuanzia walimu, madaktari, wahandisi, wachumi, wahasibu, viongozi wa dini, wanasiasa nk. hata watu wasio na taaluma mahususi pia wapo. japokuwa kama alivyosema mchangiaji moja hapo juu sio kila mwenye viashiria ameajiriwa au ameonwa. wengine wanaviashiria husika lakini mazingira ya malezi/makuzi yao yamefanya wawe na viashiria vingine vyenye nguvu zaidi hivyo kuwa disqualify.
naamini nimekusaidia kidogo
Tunao wengi na wengine wanatumika kufanya kazi pasi na kujua umuhimu wa hicho wanachokifanya.Daaah asante sanaa mkuu umenipa zinga la elimu aisee..kumbe jamaa ndio tunakaa nao huku huku mitaani!
Yes... There you're... Kuna mengi yamebadilika sana.Lazima uwe na chembe chembe za kijasusi tangia mdogo then baadae zinakuwa developed kwa mafundisho maalumu ya kazi husika. Ila kwa nchi yetu miaka is karibuni imekuwa tofauti na kipindi cha Nyerere. Now days kujuana na pia watoto wa high government officials ndo wanachukuliwa hata kama waredi wa kiintelijensia hawana.
From this point is where maafisa wengi wa serikali wanashiriki katika mambo ya kifisadi, embezzlements na corruption bila kujulikana au hatua stahiki kuchukiliwa na serikali.
Hatari sanaTafuta movie ya SALT ya Angeline Jolie uanzie hapo!!!!!
Nipo Dom lakini sijamuonakwa kweli, huyu dada kajaaliwa uzuri mkuu
Alikwambia yeye ni jengo la bunge sio?Nipo Dom lakini sijamuona
Na hao ambao hawakuonekana ni hatari by nature.There you're...wapo ambao wako ndani ya system ambao they were just made but they lack some qualities kwa kuwa " corruption " ilipenya.
Wapo ambao they were born and needed to be seen and vetted for the aim of joining the system but they were not seen kwa kuwa wahusika walikuwa blind minded; hawa wako nje but they qualify to be there.
Vyuma vikikaza weka gris, maana vinaweza kupasukanipo kaka yangu. vyuma tu ndio vimekaza
Vipaji gani mkuu? au hata nasisi wavuvi tunafaa?Nchi nyingine wanaangaliaga na Vipaji kwanza ndo mafunzo baadae!