wakati nasoma hapa tulishavamiwa na vibaka kama 100 hv maeneo ya kwa tondi wakachukua laptop na pesa.....ila tulifanya msako na kumchoma kibaka mmoja maeneo kambini toka hapo hali ilitulia ila hao vibaka ni noma nadhan wanashirikiana na polisi.....
Wakuu naomba kujua majukumu ya afisa biashara,vp ni kazi inalipa maana kuna jamaa ameniambia siku hz ni kama hawana kazi za kufanya maafisa biashara na maafisa ushirika walioko halmashauri niamben jaman
Mkurugenzi Iddy jembe la kazi wakt yuko wilaya ya Same aliibadilisha sana sana ila tatizo lake vimwana anapenda sana wanawake sio wake za watu sio vibint kwake twende hilo ndo tatizo lake ila ni mchapakazi na kazi anajua.....
Jamani naombeni ushauri kuhusu hii ki2 yangu imepinda kama ndizi hv wakt imesimama sasa sijui naweza kwenda kufanya opereshen niinyoshe.......maana kwakweli mimi sifurahish jinsi ilivyopinda.............
Pole nadhan ww utakuwa ni mtoto wa mmoja wa Dc alitemwa ndo hivyo maisha yanabadilika masikini weee kama ulikuwa unategemea vya baba kula kulala msosi wa draft.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.