Mwanafunzi chuo cha uhasibu Arusha auwawa

Mwanafunzi chuo cha uhasibu Arusha auwawa

ulinzi wa wanafunzi wa elimu ya juu siku hizi ni mdogo sana, waombe uongozi wa chuo waajili walinzi wa kutisha si wakulinda mageti tu.
 
Hao watu si tulipokua mwaka wa kwanza walikua kama wametupangia mda wa kusoma eti saa1 usku hulusiwi kupita ni wanakupa kipigo na kukuibia au kuuua.,

basi tukaingia mtaani tukatembeza vichapo kwa vijana wanaozunguka chuo basi ikawa ndo tumewamaliza,. Sasa nafikiri wamerudi tena.

Dawa hapo si kuandamana ni kugawa kichapo maeneo ya kambini,tanesco,lemara,kikokwaru,dabo b
 
Mwanafunzi wa chuo cha uhasibu Arusha jina halikuwezakupatikana mara moja,mwanafunzi huyo alikuwa anatoka chuoni usiku anaelekea nyumbani kwake alikutana na vibaka maeneo ya SDA katika msuguano waka mchoma visu vya shingo.
R.I.P Mwanafunzi
 
Lema tena yuko hapo ataharibu upepo watu watajua vurugu za chama chao zilizo zoeleka na mkakosa msaada wa kutatua matatizo yenu.
 
Hao watu si tulipokua mwaka wa kwanza walikua kama wametupangia mda wa kusoma eti saa1 usku hulusiwi kupita ni wanakupa kipigo na kukuibia au kuuua.,

basi tukaingia mtaani tukatembeza vichapo kwa vijana wanaozunguka chuo basi ikawa ndo tumewamaliza,. Sasa nafikiri wamerudi tena.

Dawa hapo si kuandamana ni kugawa kichapo maeneo ya kambini,tanesco,lemara,kikokwaru,dabo b

Sina shaka mkuu! Ila siku hizi mitaa ya kambini na kikwakwaru haina ujinga huo,siku hizi vibaka karibu wote wa maeneo hayo wamehamia Lemara,wana ngome yao hapo wanapaita chechnia,mchana wanacheza kamari hapo na kunywa viroba,usiku wanateremkia njia ya kwa osama na kwenda kuwinda maeneo ya karibu na chuo,na polisi wanaelewa kila kitu ila labda wamewapa kibali cha ujasiriamali wa mtindo huo,,RIp our auditor
 
Sina shaka mkuu! Ila siku hizi mitaa ya kambini na kikwakwaru haina ujinga huo,siku hizi vibaka karibu wote wa maeneo hayo wamehamia Lemara,wana ngome yao hapo wanapaita chechnia,mchana wanacheza kamari hapo na kunywa viroba,usiku wanateremkia njia ya kwa osama na kwenda kuwinda maeneo ya karibu na chuo,na polisi wanaelewa kila kitu ila labda wamewapa kibali cha ujasiriamali wa mtindo huo,,RIp our auditor

sasa kama wanawajua kua wapo huko chechinia wawafate hukohuko watatajana tu ukishawapasua, wengi wapo kwenye mapool table mchana kutwa,.

Mi swala la kuandamana siliafki kabisa, polisi kama wameshindwa basi vijana wajilinde na hao wala gomba,wanywa viloba na wavuta bange,.
 
Mwanafunzi wa chuo cha uhasibu Arusha jina halikuwezakupatikana mara moja,mwanafunzi huyo alikuwa anatoka chuoni usiku anaelekea nyumbani kwake alikutana na vibaka maeneo ya SDA katika msuguano waka mchoma visu vya shingo.

Polisi wameanza kuwapiga mabomu wanafunzi muda huu..,ila wanafunzi wanapambana nao kwa Mawe.Hakunipa details zaidi ila amesema hali ni Mbaya sana Policcm wamepiga mabomu ya kutosha na wametumia nguvu kubwa kuwahi kushuudiwa mkoani humo..
Chanzo:Mwanafunzi wa Uhasibu Arusha
 
wakati nasoma hapa tulishavamiwa na vibaka kama 100 hv maeneo ya kwa tondi wakachukua laptop na pesa.....ila tulifanya msako na kumchoma kibaka mmoja maeneo kambini toka hapo hali ilitulia ila hao vibaka ni noma nadhan wanashirikiana na polisi.....
 
nipo hapa uhasibu mabomu ya kutosha yanapigwa polis ni wengi kushinda wanafunzi ila wanafunzi wanapambana nao kwa mawe du hi nguvu inayotumika ni kubwa sana
 
Inaniuma sana sabu mimi pia ni X-IAA, polisi huwa hawana ushirikiano huko mpaka wanafunzi wadhulike kwanza, Nakumbuka wakati tukiwa mwaka wa kwanza 2008, kulikuwa na wimbi la vibaka unanyang'anywa laptop saa 12 jioni, polisi wanapewa taarifa lakini hawachukui hatua, ikabidi tuingie mtaani kusambaza kipigo na kuvunja vijiwe vya pooltable ndipo askari wakashtuka but kuanzia hapo hali ilitulia mpaka tunamaliza chuo but naona wameanza tena, lawama zote napeleka kwa polisi wetu wa matukio wanaopenda kutibu lakini sio kukinga! RIP comrade!
 
Lema anamsubiri Mkuu wa Chuo na anasema asipotokeza anawamrisha wanafunzi wakamchukue aliko!!!

kwikwiwiwiwiwiwiwiwiwwwwwwwww haya sisi tunasubiri taarifa akitokea au akifwatwa huko aliko itakuwaje.
 
Enzi zetu tuliwazunguka mitaa ya nyuma ya Tanesco, tukawashika piga sana afu tukawaita wazee wa pale Fidifosi Amani Bar kwa nyuma waje wabebe wapeleke polisi, walikoma kabisa..

Uhasibu enzi hizo hakuna usharobaro, Boogaloo ndio inajengwa.
 
Hapo SDA ni pabaya hasa Nyakati za Usiku ..Panahitaji Police Patrol .. Kama wanavyofanya Maeneno Hatarishi Arusha ..mfano Pale Darajani Karibu na New Arusha Hotel .
 
Back
Top Bottom