​lini na wanafanya nini?
Shukrani mkuu tunatanuka polepole next stop Korogwe then ndani ya Tanga town.leo wanafanya mkutano
Utapata tu mkuu, makamanda ndio wanaoga ni ngumu sana kupata picha zao wakati huu.picha mkuu
Mimi sikatai huu mchakato wao,lakini wanafanya research kujua ufanisi wa maeneo waliyoshinda 201o katika nafasi zoote ie ubunge na udiwani?nimesikia diawni wake mmoja wa kata ya ugombolwa tabata chang'ombe amekosa ushirikiano kabisa kutoka halmashauri ya manispaa ya ilala,hata wenyeviti wa serikali za mitaa wanafunga ofisi wakimuona akiwatembelea,waangalie na maeneo mengine bwana 2015 sio mbali kabisa!more update na picha later makamanda
Mimi sikatai huu mchakato wao,lakini wanafanya research kujua ufanisi wa maeneo waliyoshinda 201o katika nafasi zoote ie ubunge na udiwani?nimesikia diawni wake mmoja wa kata ya ugombolwa tabata chang'ombe amekosa ushirikiano kabisa kutoka halmashauri ya manispaa ya ilala,hata wenyeviti wa serikali za mitaa wanafunga ofisi wakimuona akiwatembelea,waangalie na maeneo mengine bwana 2015 sio mbali kabisa!