Recent content by naonambali

  1. N

    Rais Magufuli tunamtaka Dr. Slaa

    Naunga mkono hoja, angefaa sana wizara ya elimu, though Ndalichako is equally good. Nashauri apelekwe TAMISEMI.
  2. N

    Je, nini kitatokea kama Dunia ikisimama ghafla?

    DDunia ina mizunguko miwili, kujizungusha kwenye mhimili wake(rotation) ambapo uleta mchana na usiku, na kuzunguka jua(revolution) ambapo huleta majira ya kiangazi, masika etc. Sasa wewe unauliza ikisimama mzunguko upi kati ya hiyo?
  3. N

    Nahitaji kujua hali ya maisha ya Namibia na Botswana

    Nilifanya kazi Botswana 2014 for six month, it is very cool country, inasemekana ni nchi ya pili kwa amani barani afrika baada ya moritious. Ila uende na mkeo, manake kule ratio ya wanawake na wanaume ni 8:1, na ni warembo kwelikweli.
  4. N

    Nitampigia kura Edward Ngoyai Lowassa!

    Baada ya kufatilia mijadala na kampeni hatimaye nimefanya maamuzi. Nimeamua kumsapoti Magufuli ila kura nitampa Lowassa.Why?CHADEMA na CCM vina matatizo yanayofanana: 1. Vyote vimezungukwa na mafisadi ambao ndio chanzo cha umasikini wetu: 2. Vina watu wanaojiona kua na hati miliki ya...
  5. N

    Lowassa fanyia kazi Kura zako za ziada, zinapungua!

    Kwa wale wenye uelewa wa mambo ya marketing kuna kitu kinaitwa "brand". Mojawapo ya sababu za mafanikio ya brand yoyote ni uzuri wa brand name na brand appearence/popularity. Mwaka 2005 na 2010, rais kikwete alipata kura nyingi za ziada kwa sababu ya muonekano wake na jina lake. Muonekano wake...
  6. N

    Nifanyeje? Nimeichoka CCM, ila namkubali Magufuli zaidi kuliko Lowassa

    Wadau, nawakilisha kundi kubwa la wananchi wasio na mlengo wowote wa kisiasa, ila tunao hitaji serikali madhubuti itakayoitoa nchi yetu kwenye lindi la umasikini. Niko njiapanda, nataka mabadiliko, kwani mfumo uliopo umedumu kwa miaka mingi bila ya kua na significant development. Nawakubali...
  7. N

    Audio ya tangazo la Ndorobo na Mangi

    Tuko pamoja, nami hapo tuu anapouliza PANGA....? I wish wangetengeneza na video yake tuwaone. Linafurahisha sana, wanahitaji kupongezwa kwakweli.
  8. N

    Muhongo agombaniwa kudhaminiwa

    Kuna sera ngapi za taifa zimeishia kwenye makaratasi bila kutekelezwa, sera bila mtendaji ni bure, refer to; 1.Kilimo kwaza 2......... 3.........
  9. N

    Hii ndo tatu bora ya wagombea wa CCM

    Nahisi huyu mzee ametumika kukacover something, ivi nani wengine walichukua fomu/tangaza nia siku moja na huyu mzee, lets thing a bit outside the box.
  10. N

    Muhongo agombaniwa kudhaminiwa

    It is always a matter of time kwa ukweli kujitenga na uongo. Muhongo is the best candidate, na naamini CC ya ccm is wise enough to see that. Kila lakheli prof.
  11. N

    CCM amueni kati ya hawa wawili

    Nazani nilikua wa kwanza kupendekeza hapa with title; "Napendekeza Muhongo Uraisi Tz", Ila kwa kua wakati ule wachangiaji wengi walileweshwa na sakata la Escro, few could see me through. Naungana na mtoa mada mia kwa mia, kama ukijivua ushabiki na mihemko ya kimakundi utaweza ona mbali kwamba...
  12. N

    Kati ya watangaza nia wote, yupi umeona anafaa?

    Muhongo is the best of all, though inabidi uwe good IQ and free mind to see that.
  13. N

    CV ya Prof. Sospeter Muhongo na ushawishi wake kwa wanasayansi, wahandisi na wanasiasa vijana

    He fits for presidency, in my view. A self abled president
Back
Top Bottom